Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
- Thread starter
- #21
cheeeeeeeeekaaaaa weeeeeeeee,mmmh na hizi bikira nazo.wasichana wengine wajanja.kama unampenda endelea nae,bikira sio issue,issue muelewane
Mwenye bikira jamani hasemagi maana wanaonaga aibu eti hajui mambo, utajistukia tu red carpet ndani ya kitanda ukimuuliza anajiumauma tu, akisema mapema anabikira mhhhhhhh kuna swali hapo na sababu zake