666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,688
- 3,818
Wakati flani, miaka kadhaa nyuma nilikutana na binti mrembo, mdogo na mzuri haswa, alikua anatokea kabila flani la watu wa kaskazini wale ambao wapo kama wazungu hivi. Alikua ana utulivu wa akili, mpole na ananitii sana, shida ikawa ni ngumu sana kwenye kufanya mapenzi, nimeshapanga appointments nyingi bado aliziruka mara nyingi akitaka tukutane mahala ambako sio rafiki kwa wapenzi.
Mambo yakawa mengi, mengi yakawa mambo basi siku akajitosa mwenyewe tu usiku flani nikamla sana sana usiku mzima na k. ilikua ina tight tu na kwa usiku ule kuna wakati alikua ananiwekea mipaka hasa nikitaka kufanya mautundu na nini, sikujali wala sikufikiria tofauti hasa ukizingatia mtoto mwenyewe nilikua nimemsotea hadi kumvua chupi.
Siku zikaenda, basi akawa nae amezoea anaona kama hakuna tofauti, akaanza kuja mchana, siku za mwanzo mwanzo mchana nikaona kama kuna tofauti na k. zingine nilizo zizoea but haikuniumiza sana hasa ukizingatia binadamu wana maumbo tofauti na mie mwenyewe nsha lost the count ni wangapi nimepita nao! So mchana mmoja tupo gheto tunapiga story huku tunacheki TV ndo tukaona kipindi kimoja kwenye local channel wanazungumzia ilo swala alaf ni kabila lao huyu demu, sasa nikamuuliza "baby au na wewe walikufanyia hawa watu eeh maana kabila lenu na nyie looh mababu hawana adabu kabisa", jibu lake ndio nilichoka, akajibu straight "baby mimi walinikata nusu tu sehemu zingine zikabakia".
From that day zuka lika kata mazima, ni ukweli nilikua nimepanga kumuoa ila hio kasoro hapana aisee, she was so innocent ila tayari mabibi wa kabila lile walishamuamulia aweje aweje, na kua na mke tu ulikua kwamba tayari amekatwa antenna hii ni noma mazee, nikasema mwokozi ntoe roho niepushe hili balaa.
Ilikua ngumu na hata mie nilikua nusu kwa nusu, ila baadae akaelewa akagundua hapa hakuna jambo, ameolewa siku hizi na ana ka kid na jamaa wa kabila lake ambao kwao antenna sio jambo la muhimu sana.
Mambo yakawa mengi, mengi yakawa mambo basi siku akajitosa mwenyewe tu usiku flani nikamla sana sana usiku mzima na k. ilikua ina tight tu na kwa usiku ule kuna wakati alikua ananiwekea mipaka hasa nikitaka kufanya mautundu na nini, sikujali wala sikufikiria tofauti hasa ukizingatia mtoto mwenyewe nilikua nimemsotea hadi kumvua chupi.
Siku zikaenda, basi akawa nae amezoea anaona kama hakuna tofauti, akaanza kuja mchana, siku za mwanzo mwanzo mchana nikaona kama kuna tofauti na k. zingine nilizo zizoea but haikuniumiza sana hasa ukizingatia binadamu wana maumbo tofauti na mie mwenyewe nsha lost the count ni wangapi nimepita nao! So mchana mmoja tupo gheto tunapiga story huku tunacheki TV ndo tukaona kipindi kimoja kwenye local channel wanazungumzia ilo swala alaf ni kabila lao huyu demu, sasa nikamuuliza "baby au na wewe walikufanyia hawa watu eeh maana kabila lenu na nyie looh mababu hawana adabu kabisa", jibu lake ndio nilichoka, akajibu straight "baby mimi walinikata nusu tu sehemu zingine zikabakia".
From that day zuka lika kata mazima, ni ukweli nilikua nimepanga kumuoa ila hio kasoro hapana aisee, she was so innocent ila tayari mabibi wa kabila lile walishamuamulia aweje aweje, na kua na mke tu ulikua kwamba tayari amekatwa antenna hii ni noma mazee, nikasema mwokozi ntoe roho niepushe hili balaa.
Ilikua ngumu na hata mie nilikua nusu kwa nusu, ila baadae akaelewa akagundua hapa hakuna jambo, ameolewa siku hizi na ana ka kid na jamaa wa kabila lake ambao kwao antenna sio jambo la muhimu sana.