litutumbwe
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 581
- 1,014
Najua wote.mnaendelea vyema.. nami hiyo ndo furaha yangu kuona mnaendelea vema kwenye nyanja zote
Mimi ni msiri kiasi chake,na mara nyingi upenda utulivu hasa nikiwa naoga.. nilikua hoteli weekend hii,nilikua naoga na niwe muwaze nilimuokota malaya nikawa nataka nilale nae... ilikua ni siku ya ijumaa jioni hiyo
Kikawaida uwa siogi na mtu naoga peke yangu,na sharti atakiwi yeyote kunichungulia nikiwa naoga,ni mpka nimruhusu mwenyewe... nimekua hivi kwa muda mrefu kidogo
Huyu binti alinichungulia wakati naoga nipo bafuni,alizimia on the spot,kwa kua tulifunga chumba kwa ndani sikushtuka wala kuogopa...
Nilimuona kupitia upenyo wamlango anachungulia kakaza macho kabisa...
Basi nikajifuta nikatoka na kumsogezea pembeni...
Alikua amezimia kabisa...
Ikabidi nimuache mpaka aamke,saa tatu usiku akaamka
Akataka kupiga kelele nikamziba mdomo,nikamuambia ukimya wako ndo maisha yake... basi nikapata tendo kisha nikaenda kuoga tena
Ni saa 5 na dk usiku hiyo
Asubuhi nikampa hela yake nakumuaga...
Sasa naona km ataenda kusema alichoona uyu binti
Namuhurumia ni binti mdogo na ana future kubwa mbeleni,sitaki apate ninachofikiria
Nina access naye...
Mnaweza kunipa maneno yakumshawishi na kumsahaulisha hili suala?sitaki adhurike kwa sababu namuona kabisa ni kiropo ropo.namuhurumia
Asanteni na poleni namajukumu ya ujenzi wa taifa letu... Mama Samia oyeee! Ccm oyeee...
Mimi ni msiri kiasi chake,na mara nyingi upenda utulivu hasa nikiwa naoga.. nilikua hoteli weekend hii,nilikua naoga na niwe muwaze nilimuokota malaya nikawa nataka nilale nae... ilikua ni siku ya ijumaa jioni hiyo
Kikawaida uwa siogi na mtu naoga peke yangu,na sharti atakiwi yeyote kunichungulia nikiwa naoga,ni mpka nimruhusu mwenyewe... nimekua hivi kwa muda mrefu kidogo
Huyu binti alinichungulia wakati naoga nipo bafuni,alizimia on the spot,kwa kua tulifunga chumba kwa ndani sikushtuka wala kuogopa...
Nilimuona kupitia upenyo wamlango anachungulia kakaza macho kabisa...
Basi nikajifuta nikatoka na kumsogezea pembeni...
Alikua amezimia kabisa...
Ikabidi nimuache mpaka aamke,saa tatu usiku akaamka
Akataka kupiga kelele nikamziba mdomo,nikamuambia ukimya wako ndo maisha yake... basi nikapata tendo kisha nikaenda kuoga tena
Ni saa 5 na dk usiku hiyo
Asubuhi nikampa hela yake nakumuaga...
Sasa naona km ataenda kusema alichoona uyu binti
Namuhurumia ni binti mdogo na ana future kubwa mbeleni,sitaki apate ninachofikiria
Nina access naye...
Mnaweza kunipa maneno yakumshawishi na kumsahaulisha hili suala?sitaki adhurike kwa sababu namuona kabisa ni kiropo ropo.namuhurumia
Asanteni na poleni namajukumu ya ujenzi wa taifa letu... Mama Samia oyeee! Ccm oyeee...