Nilidhani Watanzania tuna shida ila una huko Uganda kampeni za Museveni

Nilidhani Watanzania tuna shida ila una huko Uganda kampeni za Museveni

Wild Flower

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2023
Posts
844
Reaction score
1,606
Huku Tanzania kijani kunameremeta kule Uganda ni full njano. Uganda wamekuwa wakimlalamikia Museveni wakidai hawamtaki sasa hao waliokusanyika hapo wametoka wapi au wamesafirishwa?

 
Mama anatembeza za zile basi zake zaidi ya 30 kila aendapo kwenye kampeni, halafu ushangae watu kujaa kwenye mikutano yao.

Huku Tanzania kijani kunameremeta kule Uganda ni full njano. Uganda wamekuwa wakimlalamikia Museveni wakidai hawamtaki sasa hao waliokusanyika hapo wametoka wapi au wamesafirishwa?

E
 
Kumkataa Ali, Hamisi au Bakari itakuwa ngumu kufikia kwenye Malengo yetu..., Cha maana ni kukataa Matendo....

By the way kinachoongea ni Ukwasi na Njaa mpaka pale watu watakapokosa Hope..., until then ni mwendo wa watu kuangalia wanapata nini and to hell with the other.... Ukizingatia Hakuna Imani tena na Wanasiasa ila kuna Imani na unachopewa at any given time (leo na sio kesho)
 
Museveni na ccm wanaundugu wa damu lakini siyo ukoo, hizo langi hazina utofauti ndio maana hata yanga wanatumia kijani na njano maana zinaundugu...
 
Hawa ni wafu sisi ni maiti. Ngoma droo hahahaa
 
Back
Top Bottom