Nilichomfanyia dada wa masaji hatosahau

Nilichomfanyia dada wa masaji hatosahau

Nakumbuka kuna siku, muda kidogo umepita. Nilienda kwenye hizi saloon wanazoziita berber shop kutengeneza ndevu na kunyoa. Basi baada ya kunyolewa nikaingizwa kwenye kijichumba nikamkuta mdada, binti kabisa mdogo mkali. Akaja kunifanyia scrub.
Kwa umri wangu na yeye niilona kabisa hii dunia ina majaribu makubwa sana. Akanifanyia scrub huku ananishika masikio, nyuma huku shingoni ili mradi tu aamshe hisia zangu. Alipomaliza nikamlipa kisha nikampa simu yangu nikamwambia aweke namba yake, akaweka. Nikaondoka.

Ikapita kama miezi mi4 hivi simkumbuki. Sasa kuna siku nilikuwa nimekaa peke'ngu nagonga kinywaji. Katika kucheck simu nikaiona ile namba yake. Nikamcheck, akapokea akawa hanikumbuki. Ila nikamwambia alinifanyia scrub na yeye nso alinipa ile namba. Nikamwambia lama yupo free aje. Akaniambia anakuja. Dk 20 hazikupita akaingia na bodaboda, nikalipa jamaa akasepa.

Kwa jinsi alivyokuja kavaa, akanikata wenge. Tukakaa tunakunywa. Muda unaenda alitegemea nikagonge kumbe mimi nishaghairi. Akanywa kama bia 4 hivi. Akaniuliza kwa kiingereza chake kibovu. How about to rest. Nikamwambia leo hapana. Sasa itakuwaje uoni kama umenipotezea muda? Akawa analalamika. Muda gani tena mama na tumepiga story na pombe tumekunywa? Nikamjibu.

Nikampa 15k nikalipa na boda akasepa. Alipoondoka acha anivurumishie matusi. Sikumjibu.

Wakati mwingine kuushinda moyo nako ni ushujaa.
 
Unaenda kununua matatizo halafu unajisifu kwa kuyatatua ili uonekane ni jasiri. Huu si uungwana OKW BOBAN SUNZU. Halafu unajua ulivyomtesa huyu dada hawezi kukuacha na stori za kukuonea huruma kuwa unagonjweka tena maradhi mabaya mnoooo.

Mungu sio mjinga aliyetuimba na nyege akatukataza kukaribiana sana na viumbe vya kike alivyotugharamishia kiviingilia kimaumbile bila ya sheria ya ndoa kupita. Mkuu na engineer mwenyewe anaelewa vyema alivyotuumba. anajua hatuwezi kustahamili minyato na joto la mwanamke halafu ww unakuja kumprove wrong muumbaji wako. Jitafakari sio kila jambo linahitaji kutestiwa. Usijitie umwamba kwenye kujizuia na kufanya starehe za kimaumbile.

ULIOUFANYA KWA HUYO DADA NI UJINGA NA KUYADHALILISHA MAUMBILE YA KIUME.
Umeandika kwa uchungu
 
Mkuu, uungwana ni kitendo, tafadhali nipatie mawasiliano yake hapa haraka iwezekanavyo, mgongo una mauza uza huu unahitajika kuchuliwa
 
Unaenda kununua matatizo halafu unajisifu kwa kuyatatua ili uonekane ni jasiri. Huu si uungwana OKW BOBAN SUNZU. Halafu unajua ulivyomtesa huyu dada hawezi kukuacha na stori za kukuonea huruma kuwa unagonjweka tena maradhi mabaya mnoooo.

Mungu sio mjinga aliyetuimba na nyege akatukataza kukaribiana sana na viumbe vya kike alivyotugharamishia kiviingilia kimaumbile bila ya sheria ya ndoa kupita. Mkuu na engineer mwenyewe anaelewa vyema alivyotuumba. anajua hatuwezi kustahamili minyato na joto la mwanamke halafu ww unakuja kumprove wrong muumbaji wako. Jitafakari sio kila jambo linahitaji kutestiwa. Usijitie umwamba kwenye kujizuia na kufanya starehe za kimaumbile.

ULIOUFANYA KWA HUYO DADA NI UJINGA NA KUYADHALILISHA MAUMBILE YA KIUME.
Daaaaah,umeandika kwa hisia sana
 
Nakumbuka kuna siku, muda kidogo umepita. Nilienda kwenye hizi saloon wanazoziita berber shop kutengeneza ndevu na kunyoa. Basi baada ya kunyolewa nikaingizwa kwenye kijichumba nikamkuta mdada, binti kabisa mdogo mkali. Akaja kunifanyia scrub.
Kwa umri wangu na yeye niilona kabisa hii dunia ina majaribu makubwa sana. Akanifanyia scrub huku ananishika masikio, nyuma huku shingoni ili mradi tu aamshe hisia zangu. Alipomaliza nikamlipa kisha nikampa simu yangu nikamwambia aweke namba yake, akaweka. Nikaondoka.

Ikapita kama miezi mi4 hivi simkumbuki. Sasa kuna siku nilikuwa nimekaa peke'ngu nagonga kinywaji. Katika kucheck simu nikaiona ile namba yake. Nikamcheck, akapokea akawa hanikumbuki. Ila nikamwambia alinifanyia scrub na yeye nso alinipa ile namba. Nikamwambia lama yupo free aje. Akaniambia anakuja. Dk 20 hazikupita akaingia na bodaboda, nikalipa jamaa akasepa.

Kwa jinsi alivyokuja kavaa, akanikata wenge. Tukakaa tunakunywa. Muda unaenda alitegemea nikagonge kumbe mimi nishaghairi. Akanywa kama bia 4 hivi. Akaniuliza kwa kiingereza chake kibovu. How about to rest. Nikamwambia leo hapana. Sasa itakuwaje uoni kama umenipotezea muda? Akawa analalamika. Muda gani tena mama na tumepiga story na pombe tumekunywa? Nikamjibu.

Nikampa 15k nikalipa na boda akasepa. Alipoondoka acha anivurumishie matusi. Sikumjibu.

Wakati mwingine kuushinda moyo nako ni ushujaa.
ilikuwa wapi mkuu. hata huyu wa stori yangu alikuwa anaongea kingereza cha kuzugia
 
View attachment 1780894

Fast foward.......

Hii masaji ilikuwa mobile yaani alikuja room kunifanyia masaji.

Alipofika akaanza na gia ya kuvaa kihasara-hara. Alikuja very decent akaomba aingie bafuni. Akaoga na kutoka na kanga moja iliyolowa. Wakati namtupia taulo ajifute nikajisemea ngoja niionyeshe wehu hii pisi kali. Tulikubaliana ni masaji baaaaasi tu sitaki chokochoko zingine.

Alipojikausha akajifunga mtandio na kunitaka nilale chali anihudumie. Nikaitika.
Akaanza mdogo mdogo sehemu za mabega na kifuani hapa na kushuka kwenye mbavu. Baadae kidogo akapanda kitandani akitaka kunikalia akidai chini anakosa uhuru. Nikamruhusu akanikalia baada ya dakika 5 braza zakaria akataka kunisaliti. Dada akainuka kidogo kutaka kunivua boxer.
Nikamwambia hapana usifanye hivyo sio makubaliano. Akatabasamu akisema 80k ni body to body masage.

Basi akanielewa ila akaiegemeza viungo vikawa karibu kabisa mpaka nikagundua hakuvaa kitu ndani. Nikatamani nimwambie avae chupi ila nikaona nimpotezee tu,namkazia hivyo hivyo.

Basi wakuu nikajikausha pale mpaka ikatosha nikageuka kifudifudi ambapo hakuna madhara na vishawishi. Hatimaye dakika 40 zikakata ngoma droo. Dakika ya 43 akaniuliza kwani kaka una tatizo la nguvu za kiume. Nikacheka sana mpaka akashangaa,kisha nikamwambia ingiza mkono uhakiki. Kaniambia nataka nikupe ofa,nikamwambia usipate taabu labda siku nyingine halafu sina mpira. Akaniambia anayo kwenye mkoba.. Mkuu wenu bado nikakomaa.

Dakika ya 89 akanyanyuka akaoga zake,tukapiga stori kidogo na kusepa.
Ukatili ulomfanyia huyo dada hata shetani kashindwa kukulaani..
 
Sijawahi kumwamini mshabiki yeyote wa simba labda awe amekufa
bara zima linatuheshimu,leo hii mji wa Johans upo tulivu sana. Lakini kikundi kidogo cha Yanga ndio kinatupuuza. Mtakapokosa vyote halafu mkashiriki CAFCL ndio mtatupa heshima
 
View attachment 1780894

Fast foward.......

Hii masaji ilikuwa mobile yaani alikuja room kunifanyia masaji.

Alipofika akaanza na gia ya kuvaa kihasara-hara. Alikuja very decent akaomba aingie bafuni. Akaoga na kutoka na kanga moja iliyolowa. Wakati namtupia taulo ajifute nikajisemea ngoja niionyeshe wehu hii pisi kali. Tulikubaliana ni masaji baaaaasi tu sitaki chokochoko zingine.

Alipojikausha akajifunga mtandio na kunitaka nilale chali anihudumie. Nikaitika.
Akaanza mdogo mdogo sehemu za mabega na kifuani hapa na kushuka kwenye mbavu. Baadae kidogo akapanda kitandani akitaka kunikalia akidai chini anakosa uhuru. Nikamruhusu akanikalia baada ya dakika 5 braza zakaria akataka kunisaliti. Dada akainuka kidogo kutaka kunivua boxer.
Nikamwambia hapana usifanye hivyo sio makubaliano. Akatabasamu akisema 80k ni body to body masage.

Basi akanielewa ila akaiegemeza viungo vikawa karibu kabisa mpaka nikagundua hakuvaa kitu ndani. Nikatamani nimwambie avae chupi ila nikaona nimpotezee tu,namkazia hivyo hivyo.

Basi wakuu nikajikausha pale mpaka ikatosha nikageuka kifudifudi ambapo hakuna madhara na vishawishi. Hatimaye dakika 40 zikakata ngoma droo. Dakika ya 43 akaniuliza kwani kaka una tatizo la nguvu za kiume. Nikacheka sana mpaka akashangaa,kisha nikamwambia ingiza mkono uhakiki. Kaniambia nataka nikupe ofa,nikamwambia usipate taabu labda siku nyingine halafu sina mpira. Akaniambia anayo kwenye mkoba.. Mkuu wenu bado nikakomaa.

Dakika ya 89 akanyanyuka akaoga zake,tukapiga stori kidogo na kusepa.
Tangu Lin umeaanza kususa kama yanga
 
View attachment 1780894

Fast foward.......

Hii masaji ilikuwa mobile yaani alikuja room kunifanyia masaji.

Alipofika akaanza na gia ya kuvaa kihasara-hara. Alikuja very decent akaomba aingie bafuni. Akaoga na kutoka na kanga moja iliyolowa. Wakati namtupia taulo ajifute nikajisemea ngoja niionyeshe wehu hii pisi kali. Tulikubaliana ni masaji baaaaasi tu sitaki chokochoko zingine.

Alipojikausha akajifunga mtandio na kunitaka nilale chali anihudumie. Nikaitika.
Akaanza mdogo mdogo sehemu za mabega na kifuani hapa na kushuka kwenye mbavu. Baadae kidogo akapanda kitandani akitaka kunikalia akidai chini anakosa uhuru. Nikamruhusu akanikalia baada ya dakika 5 braza zakaria akataka kunisaliti. Dada akainuka kidogo kutaka kunivua boxer.
Nikamwambia hapana usifanye hivyo sio makubaliano. Akatabasamu akisema 80k ni body to body masage.

Basi akanielewa ila akaiegemeza viungo vikawa karibu kabisa mpaka nikagundua hakuvaa kitu ndani. Nikatamani nimwambie avae chupi ila nikaona nimpotezee tu,namkazia hivyo hivyo.

Basi wakuu nikajikausha pale mpaka ikatosha nikageuka kifudifudi ambapo hakuna madhara na vishawishi. Hatimaye dakika 40 zikakata ngoma droo. Dakika ya 43 akaniuliza kwani kaka una tatizo la nguvu za kiume. Nikacheka sana mpaka akashangaa,kisha nikamwambia ingiza mkono uhakiki. Kaniambia nataka nikupe ofa,nikamwambia usipate taabu labda siku nyingine halafu sina mpira. Akaniambia anayo kwenye mkoba.. Mkuu wenu bado nikakomaa.

Dakika ya 89 akanyanyuka akaoga zake,tukapiga stori kidogo na kusepa.

I can do exactly what you did, ni muhimu kufanya hayo mambo kwa ridhaa, ila wewe ni mwongo, why?

1. Ulikuwa na lengo gani akufanyie room?
2. Kama lengo lako ni massage tu, kwa nini usifanyie mahali sahihi?

Wewe ulitaka ngono na ukiifanya! Usituibie!
 
Unastahili kuwajibishwa.

Huo ni unyanyasaji wa viungo vya mwili.

Ila kama kweli umefanya hivyo kweli huo ni ushajaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom