mimi kwa uzoefu wangu, naona wanaume wengi si waaminifu kwenye ndoa. nataka kukuthibitishia kuwa hayo maneno kuwa sec ni mtamu kuliko wewe si kweli, ni lugha wanaume wanatumia kudanganya wanawake wa nje, ila ukweli ni kuwa mumeo anakupenda, na ndio maana amekuoa wewe. sema tu anazini na huyo sec, msamehe, na umuombee kwa Mungu aache uzinzi, do not even feel bad, the husband loves you!