Nilichokitafuta nimekipata!!!!!!!!

jidanganye kumuacha uone wengine wanavyochukua nafasi fasta. Mungu anisamehe natembea na mke wa mtu na hayuko tayari kumuacha mumewe, sema anahudumia......ndo mana siwazi kuoa maisha!!
 


Nawala usimweleze mtu mwingine. Don't worry your secret is safe with us!
 

royna unatujua Dah! Hongera kwa aliyeko na wewe!
 
Hii ni fundisho kwa wanawake wote, kila mara nimekuwanasema, "hakuna mwanaume asiyeruka fensi" kinachotakiwa ni kujitahidi usigundue na kumsihi afanye kwa heshima.
 
jamani pole sana mwanamke mwenzagu kuna wanaume huwa hawatoshiki mpaka wakale na nje ndio wanakamilisha uanaume wao, kwani ye sio member wa humu?namaanisha akijua umeleta uzi hapa hutapata kichapo heavy?
 
hayo ni mapito tu dada angu!!hakuna ambaye ni msafi kwa maana ya dhambi.sote tu wadhambi.kabla hujafanya maamuzi mazito,tafakari ,ulisha fanya dhambi ngapi?then uchukue hatua.otherwise msamee bure.
 
ni worse kwa mwanamke kucheat kuliko mwanaume
 
We,tulia acha papara za wazazi,kwani alikuambia wewe ulikuwa wa kwanza? Mpikie chakula kizuri,acha kulala na chupi? Ndiyo maana akasema wewe siyo mtamu. Unalala mno. Sisi wanaume tunataka mchakamchaka kila siku,asubuhi na jioni.Niye wanwake wa maofisini mnajifanya busy saa zote,haya ndiyo matokeo. Ila usimwambie mtu mwingine ili aone ulivyomlindia heshima,mpe kitu rohoo inapenda,tena mlazimishe,na akikubali mpelekee moto mpaka atamke mwenyewe kuwa hatarudia na kwamba wewe ni mtamu kuliko yule secretaty. Mungu akuongoze,mdumu kwenye ndoa yenu
 
Mume wangu: yeye si mtamu kama wewe,baby you are so sweet,cant wait to hold and .......you hardly.
Dah!! Huyo mumeo wala hana adabu hata kidogo!! Yaani sipati picha angetoa jibu gani endapo ungeuliza "kwani yake ina nini?"
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…