Nilichokishuhudia leo...!

Nilichokishuhudia leo...!

Ipo haja ya kufanya tafiti za awali kabla ya kuhamia kwenye nyumba husika! hasa katika mkoa huo wa Mwanza nyumba nyingi zinamilikiwa na wajane ambao ukifuatilia wanakuwa wamewaua waume zao.
 
na hii ni maalum kwa wote ambao husema hakuna uchawi...hivyo ni baadhi ya vile ulivyobahatika kuona kuna ambayo hayaonekani kabiiiiiisa, yapo tena yanaua na kujeruhi kuvuruga uchumi,kuvuruga ndoa,kazi,biashara,mahusiano ya kijamii,elimu zenu na wanenu,nk yapo,yapo,yapo.
 
Hivi vitu mbona hata ulaya vipo sana. Angalieni au m download vipindi vya Haunted vinarushwa na channel ya Investigation Discovery!! Ni noooooma aisee. Sasa si unajua wenzetu ni wabishi wana chunguzaga mpaka kieleweke, ila wao wenyewe wanachemsha na science. Kichekini kina sisimua!
 
Ipo haja ya kufanya tafiti za awali kabla ya kuhamia kwenye nyumba husika! hasa katika mkoa huo wa Mwanza nyumba nyingi zinamilikiwa na wajane ambao ukifuatilia wanakuwa wamewaua waume zao.

Dah!
Ngoja nifanye utafiti kwenye hili!!!!
 
Siamini ushirikina lakini najua upo!!Hio nyumba ina majini si bure!!hali hio ilianza hapo kwenye hio nyumba mpya au ilishawahi kutokea awali?
Kuna kipindi nilishakiona kwenye TV kinahusiana na true stories kuhusiana na habari kama ulizozisema wewe,Na explanation behind the stories i saw was either they were lost spirits of dead people in the house who used to live there and never moved on or DEMONS which are worse case sceneario cause hawa demons wanakudhuru kabisa yaani wanaweza hata wakuue wanakutawala mwili wako.Hawo majini au demons wakiwa absessed wanakuwa wanakufata haisaidii ukihama wanahama nawe!!Hao watu wanatakiwa wafanyie maombi ya uhakika!
Cc Eiyer
 
Last edited by a moderator:
tatizo litaendelea kwa wahamiaji wengine, lakini nguvu za giza zikishindwa, ukombozi unakuwa ni endelevu

Mwenye jukumu la kufanya hayo si mwenye nyumba mkuu?
Sasa wapangaji watahusikaje?

Inawezekana kwa aina moja au nyingine mwenye nyumba anahusika au anapenda hali hiyo kwa wapangaji wake!
Kama angekuwa hapendi angekuwa amechukua hatua!
 
Yap! Ni kweli!
Marekebisho nilijua hapo mnapohama!
Sasa nimeona marekebisho ni hapo ANAPOTARAJIA KUHAMIA!
I was wrong!

Mkuu hebu soma tena mada!
Naona kuna maeneo hujayaelewa!
 
MUNGU atusaidie tuondokane na hizi nyumba za kupanga tuishi kwetu,..
 
Sikilizeni niwaambie jambo muhimu sana. Hata siku moja usihamie kwenye nyumba ya kupanga pasipo kufanya maombi/sala ya nguvu. Kama huwezi fanya maombi/sala waombe hata Wachungaji/Wainjilisti wafanye hivyo. Nyumba nyingi za kupanga zimezindikwa uchawi wa ajabu sana ambao usipokuwa makini utaangamiza familia au kukuharibia mafanikio yako.
 
Mkuu hata ukijenga kwako unatakiwa kufanya maombi/sala kubwa sana ya kutakatisha hiyo ardhi uliyojenga maana huwezi kujua huyo aliyekuuzia huo uwanja alikuwa amezindika nini hapo. Wakati mwingine hata mafundi wanaojenga wanatumia nguvu na imani za kishirikina ambazo zinaweza kuathiri maisha yako na familia yako
MUNGU atusaidie tuondokane na hizi nyumba za kupanga tuishi kwetu,..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom