Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
- Thread starter
- #21
Duuh,..Mwenyezimungu atuepushie mbali hayo mambo,...hizo ishu zipo,wengi zimewakuta. Watu wanasamehe hadi fenicha ili mradi asirudi tu kwenye nyumba.
Daah!
Yaani ni hatari mkuu!
Ntu anasamehe meza aliyokusanya hela mwezi mzima kuitengeneza sio mchezo!!!