Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 4,686
- 3,400
bahati nzuri huwa naamini ili dunia ikamilike lazima watu kama nyinyi muwepo!!! Labda unadhani nita kutukana kama wewe ulivyo fanya!!! But am not that type of a person!!
Nadhani Umeeeleza vizuri sana umesoma post yote niliyoiandika,
Kile kitendo tu cha wewe kutumia muda wako kuisoma post yooote ile na kwa urefu wake it's a good sign ulivutiwa na kilicho kuwa kimeadikwa, kika kuteka ukasoma na kudoma na inside umeonyesha umeguswa. Ila kwakuwa wewe ni mnufaika wa mfumo wa utawala waina hiyo iliyo zungumzwa hapo juu! Sasa ikabidi tu upinge in one way or another kulinda mfumo wako wa maisha!!
na shukuru umekuwa informed, endele kusoma zaid uwe informed more!!!
Kuhusu kutokua na kazi that's is personal , dnt judge the book by it's cover dear!! Mi mtoto wakike na hapa Tunaonana kwa comments but in reality I don't know you and you dnt know me!! So asante tena kwa Ku apriciate my post!!!
Viva 26:
pamoja tutaandamana na tutaweza!!!
Unavyoonekana Tu Hata Hiyo Simu umeazima Pole sana Magufuli yupo mpaka 2025