Nilichokigundua kuhusu maandamano yenye kauli mbiu ya (Tanzania Revolution)

Sijaona mtu wa kufanya maandamano hapa.....

Siku hiyo ya tarehe 24/04 wote watafyata mikia yao kama mbwa dume muoga......

Mr President we chapa kazi usisikie wala kufuata haya maneno ya kwenye mitandao....
 
Kuna watu wamekaa darasani kwa miaka kwa ajili ya kujifunza namna ya kupambana na wajingawajinga kama hao, wala usiwaze mkuu waache waeendelee kupiga cha arusha. Watataga mayai kama ya mbuni
 
Mimi niliongea kama wewe nikapewa ban Kule wanakojiita wana mapinduzi utoto mtupu Hoja wanazo wangeziwasilisha kwa heshima Na staha kwa wingi huo wangesikika ila kwa kumtumia mange wamenoa
Mdharau mwiba....ujiulize tumefikaje hapa.???
 
Kuna watu wamekaa darasani kwa miaka kwa ajili ya kujifunza namna ya kupambana na wajingawajinga kama hao, wala usiwaze mkuu waache waeendelee kupiga cha arusha. Watataga mayai kama ya mbuni
Kule Egypt hawakuwepo hao wakaa darasani.???? Just be aware something is cooking on and no one can say for certain KITAKACHOPAKULIWA
 
Kule Egypt hawakuwepo hao wakaa darasani.???? Just be aware something is cooking on and no one can say for certain KITAKACHOPAKULIWA
Usipende kujaribujaribu kila kitu wala Usipende kuigaiga kila unachosikia na kuona, iga mazuri sasa kama hayo ya Egypt ni mazuri just do it
 
Habarini za usiku ndugu zangu,

Nimejaribu kupekua ktk mitandao mbalimbali nimeona watu wengi Sana wakishiriki kwa kuchangia hoja na wengi wao nimeona wakikubaliana na haya maandamano, Sasa kwa ujinga wa vijana wa hapa kwetu nchini wanadhani kuwa maandamano haya yatatekelezeka kama wanavyopeana moyo,

Sasa ili wasiendelee kupoteza wakati wa kufanya maendeleo kwasababu ya kukesha katika kujadili hoja isiyo na manufaa kwa familia zao na kwa taifa kwa ujumla nawaomba wajiulize maswali yafuatayo:

1) Ni nani atakuwa kiongozi wao ambaye atafanya kazi ya kuwakusanya pamoja kuanza kuandamana?

2) Je, kwa kutumia majina yasiyo yao ktk makundi ya mapinduzi wataweza kutambuana siku hiyo?

3) Je, uelewa wetu na elimu tuliyo nayo tumekubali kuwa mwalimu wetu mwenye akili kuliko sisi awe Mange kimambi?

4) Je, watakaoumizwa, uawa, fungwa, siku hiyo Mange atajivisha lawama za ndugu wa waliopatwa na majanga?

Niwakumbushe tu ndugu zangu amani hailetwi na mtu yeyote kutoka nchi nyingine isipokuwa mwenye nchi mwenyewe, Tanzania hatujawahi kupitiwa na Vita ya wenyewe kwa wenyewe hivyo basi vijana wengi wamekua sasa hivi na hawajashuhudia mauji mbalimbali ndio maana wanakurupuka tu kuunga mkono hoja sasa mkae mkijua kuwa nchi yetu Tanzania ina udongo wa amani kiasi kwamba Hakuna mtu, kikundi cha watu, wala mkusanyiko wowote utakao tokea siku ya tarehe 26/04/2018 Mimi naona ni watu wanafanya burudani tu ya kujadili mapinduzi.

Tufanye kazi za maendeleo ndg zangu kuna marais madikteta jamani wananchi hawapumui lakini watanzania imefika hatua ya kutaka kujidanganya kumpindua Mh. Rais Magufuli kwa makosa gani aliyotutendea hapa nchini!!

Ndg zangu kataeni maandamano uchwara ambayo hayana hata baba. Anayemlipa mange pesa kwa kuhamasisha ujinga huu hatumjui, mnadhani mange anaweza kujitolea tu akae kutwa nzima kuwaandikia miongozo ya kuchafua amani bila kulipwa????
Nasikitika unapo dhani aina ya maandamano unayo itaka wewe!!! Pole sana ndungu!!!

kuhusu atakaye tuongoza huto muona na kamwe ustarajie kumuona, mange nikama sauti tu but you guys you will be suprised!! Maana mnacho kitarajia sicho mtakacho kiona!!!

Alafu haya maandamano si ya sehemu moja, ni Tanzania nzima, so usifikiri yatakuwa dar, au labda mwanza pekee wait and see how smart we are and how ignorant mtajikuta!!


Pili nakutaarifu hii kauli ya kuwa watu watapigwa, kuuwawa na kujeruhiwa na nk, hayo yote hayato tokea, tutaamdamana na nakuhakikishia Na niwakumbushe akina Dada wenzangu this is our time!! don't worry, msihofu wanawaza tutakua some where waje wapige mabomu, wanawaza violence!! Kwakuwa wanaamini vitisho na violance!

Ila wao hawajui sisi niwatu wa amani, so msiogope tuta weza kwa aina yake na tutafikisha ujumbe mzito duniani wajue kuwa sasa taifa limebadilika kuwa tuna kizazi kipya chenye uthubutu!!


Lakini ni ukweli kabisa, tunajua mtakuja na mapolisi, risasi za moto, virungu na kila aina ya silaha na vitisho kuwazuia wananchi wenu wanaotaka Ku exercise freedom of speech peacefully kuwaeleza hoja 12 muhimu ambazo tunajua hata kwa njia ya kawaida ya kuwaomba kwa kuwapigia magoti hamuwezi zikubali hoja hizo since nyinyi mnanufaika na mfumo huu wa kiutawala kwa miaka zaidi ya 30 sasa so lazima muulinde kwa aina yeyote ile!!

Mfano mdogo tu, " katiba mpya" mlisha kataa hadharani kuwa hamtaki kusikia ilo suala!!

Sisi tunataka dunia iwajue, iwaone ni jinsi gani nyinyi msivyo binadamu, mlivyo wanafki, mlivyo wakandamizaji, mlivyo wanyanyasaji na kilers kwa kuleta silaha kuwa piga watanzania wasio na silaha wenye lengo LA kusema waliyo nayo baada ya wabunge wao kishindwa kuwasemea na kuisimamia serikali yao!!!

Muonekane jinsi mnavyo tumia nguvu kubwa kwenye maandamano badala kuwasaka watu wasio julikana, wanao uwa wananchi, na kuteka watu!!

Badala ya kutumia nguvu kubwa kutatua kero za elimu kwa kuhakikisha watanzania watoto wa maskini wote wenye sifa wanapata mikopo ya elimu ya juu, madawati shule za msingi na sekondari, kuongeza vyumba vya madara viandane na wingi wa watoto mashuleni, kuboresha mazingira ya shule kuwa za kisasa,

Kutumia nguvu izo kubwa kutatua changamoto za afya, maji na umeme, mjini na vijijini , kuweka unafuu wa ufanyaji biashara kwa kuweka kodi zinazo lipika,


Kutumia nguvu kuboresha mifumo ya kimahakama kutoa haki kwa wakati, na kuboresha miundombinu ya msingi. Kukuza kilimo chetu kinacho toa ajira kwa zaidi ya watanzania asilimia 70!! Yote katika kuinua kipato cha mtanzania!!


Badala yake nguvu kubwa IPO kwenye unyanyasaji na ukandamizaji wa haki za raia!!! Kwa kuondoa uhuru wa kusema na kuikosoa serikali hata kama kwa maneno makali! "


Tutapaza sauti bila woga na tuta leta mabadiliko ya kweli!! Kwa amani na upendo mkubwa !! Viva Tanzania viva 26 pamoja tuna weza!!

Tunataka uhuru wa maoni, tunataka uchumi wa kweli, tunataka tuheshimiwe!!

Viva Tanzania viva 26. Hakuna kuogopa, tutaandamana na pamoja tuta leta mabadiliko kwa amani na upendo na utulivu!!!


Karibu tuiandike historia mpya ya Tanzania;;; 26
 
Nasikitika unapo dhani aina ya maandamano unayo itaka wewe!!! Pole sana ndungu!!!

kuhusu atakaye tuongoza huto muona na kamwe ustarajie kumuona, mange nikama sauti tu but you guys you will be suprised!! Maana mnacho kitarajia sicho mtakacho kiona!!!

Alafu haya maandamano si ya sehemu moja, ni Tanzania nzima, so usifikiri yatakuwa dar, au labda mwanza pekee wait and see how smart we are and how ignorant mtajikuta!!


Pili nakutaarifu hii kauli ya kuwa watu watapigwa, kuuwawa na kujeruhiwa na nk, hayo yote hayato tokea, tutaamdamana na nakuhakikishia Na niwakumbushe akina Dada wenzangu this is our time!! don't worry, msihofu wanawaza tutakua some where waje wapige mabomu, wanawaza violence!! Kwakuwa wanaamini vitisho na violance!

Ila wao hawajui sisi niwatu wa amani, so msiogope tuta weza kwa aina yake na tutafikisha ujumbe mzito duniani wajue kuwa sasa taifa limebadilika kuwa tuna kizazi kipya chenye uthubutu!!


Lakini ni ukweli kabisa, tunajua mtakuja na mapolisi, risasi za moto, virungu na kila aina ya silaha na vitisho kuwazuia wananchi wenu wanaotaka Ku exercise freedom of speech peacefully kuwaeleza hoja 12 muhimu ambazo tunajua hata kwa njia ya kawaida ya kuwaomba kwa kuwapigia magoti hamuwezi zikubali hoja hizo since nyinyi mnanufaika na mfumo huu wa kiutawala kwa miaka zaidi ya 30 sasa so lazima muulinde kwa aina yeyote ile!!

Mfano mdogo tu, " katiba mpya" mlisha kataa hadharani kuwa hamtaki kusikia ilo suala!!

Sisi tunataka dunia iwajue, iwaone ni jinsi gani nyinyi msivyo binadamu, mlivyo wanafki, mlivyo wakandamizaji, mlivyo wanyanyasaji na kilers kwa kuleta silaha kuwa piga watanzania wasio na silaha wenye lengo LA kusema waliyo nayo baada ya wabunge wao kishindwa kuwasemea na kuisimamia serikali yao!!!

Muonekane jinsi mnavyo tumia nguvu kubwa kwenye maandamano badala kuwasaka watu wasio julikana, wanao uwa wananchi, na kuteka watu!!

Badala ya kutumia nguvu kubwa kutatua kero za elimu kwa kuhakikisha watanzania watoto wa maskini wote wenye sifa wanapata mikopo ya elimu ya juu, madawati shule za msingi na sekondari, kuongeza vyumba vya madara viandane na wingi wa watoto mashuleni, kuboresha mazingira ya shule kuwa za kisasa,

Kutumia nguvu izo kubwa kutatua changamoto za afya, maji na umeme, mjini na vijijini , kuweka unafuu wa ufanyaji biashara kwa kuweka kodi zinazo lipika,


Kutumia nguvu kuboresha mifumo ya kimahakama kutoa haki kwa wakati, na kuboresha miundombinu ya msingi. Kukuza kilimo chetu kinacho toa ajira kwa zaidi ya watanzania asilimia 70!! Yote katika kuinua kipato cha mtanzania!!


Badala yake nguvu kubwa IPO kwenye unyanyasaji na ukandamizaji wa haki za raia!!! Kwa kuondoa uhuru wa kusema na kuikosoa serikali hata kama kwa maneno makali! "


Tutapaza sauti bila woga na tuta leta mabadiliko ya kweli!! Kwa amani na upendo mkubwa !! Viva Tanzania viva 26 pamoja tuna weza!!

Tunataka uhuru wa maoni, tunataka uchumi wa kweli, tunataka tuheshimiwe!!

Viva Tanzania viva 26. Hakuna kuogopa, tutaandamana na pamoja tuta leta mabadiliko kwa amani na upendo na utulivu!!!


Karibu tuiandike historia mpya ya Tanzania;;; 26

Maneno yako Yoteee nimeyaangalia nikajua ayatoki Moyoni yanatoka Kwenye Vijiwe vya Ushabiki


Kwa IQ yako tu unaonekana ni Mbulula na usietaka kazi
Nenda Kimara , Mbezi vijana wenzio wanasaka tonge wewe unasubiri Shemj yako alete Dona


Pointless
 
Maneno yako Yoteee nimeyaangalia nikajua ayatoki Moyoni yanatoka Kwenye Vijiwe vya Ushabiki


Kwa IQ yako tu unaonekana ni Mbulula na usietaka kazi
Nenda Kimara , Mbezi vijana wenzio wanasaka tonge wewe unasubiri Shemj yako alete Dona


Pointless
bahati nzuri huwa naamini ili dunia ikamilike lazima watu kama nyinyi muwepo!!! Labda unadhani nita kutukana kama wewe ulivyo fanya!!! But am not that type of a person!!

Nadhani Umeeeleza vizuri sana umesoma post yote niliyoiandika,

Kile kitendo tu cha wewe kutumia muda wako kuisoma post yooote ile na kwa urefu wake it's a good sign ulivutiwa na kilicho kuwa kimeadikwa, kika kuteka ukasoma na kudoma na inside umeonyesha umeguswa. Ila kwakuwa wewe ni mnufaika wa mfumo wa utawala waina hiyo iliyo zungumzwa hapo juu! Sasa ikabidi tu upinge in one way or another kulinda mfumo wako wa maisha!!

na shukuru umekuwa informed, endele kusoma zaid uwe informed more!!!

Kuhusu kutokua na kazi that's is personal , dnt judge the book by it's cover dear!! Mi mtoto wakike na hapa Tunaonana kwa comments but in reality I don't know you and you dnt know me!! So asante tena kwa Ku apriciate my post!!!


Viva 26:

pamoja tutaandamana na tutaweza!!!
 
Inasikitisha sana kuona mtu anajiona kuna yeye anajitambua sana alafu kifua mbele kuitetea hii serikali, mtu anajidhani yeye ni mchambuzi wa mambo anasimama hapa kutetea serikali ya magufuli so stupid..
Kwa mtu timamu hawezi kuunga mkono serikali hii hata kidogo
 
Inasikitisha sana kuona mtu anajiona kuna yeye anajitambua sana alafu kifua mbele kuitetea hii serikali, mtu anajidhani yeye ni mchambuzi wa mambo anasimama hapa kutetea serikali ya magufuli so stupid..
Kwa mtu timamu hawezi kuunga mkono serikali hii hata kidogo

Upumavu ni Nini??

Ni pale Vichaa wanakaa Chini na Kuongozana njia

Naona mnajitekenya kwenye Puru huku mnakula Ugali
 
Back
Top Bottom