Nilichojifunza leo katika Ibada ya Ijumaa Kuu

Nilichojifunza leo katika Ibada ya Ijumaa Kuu

Unadhani kwenye hizo taasisi wanaohudumiwa ni wakatoliki tu? RC ni kanisa la dunia, hata sadaka unayotoa usidhani inaishia parokiani, Kuna asilimia zinaenda jimboni, Taifa, Na Makao makuu Vatican ili isambazwe mahala penye uhitaji ulimwenguni pote! Huko Somalia,Darfur kwenye vita wanahitaji misaada, Viongozi wakuu Vatican wanahitaji kuhakikisha huduma za kiroho zinaenea ulimwenguni pote siku zote! Kufikia sehemu zisizofikika! Kuongeza na kujenga tena na tena mashule mengine makanisa mengine mabenki mahospital zingine.Lengo sio kutafuta faida Bali kuihudumia jamii kimwili na kiroho.
Wewe ni mkatoliki wa wapi? Taifa ni wapi katika kanisa katoliki?

Huna ulijuwalo ndio maana kazi yenu kupinga tu mkisikia yale msiyopenda kusikia.

Nyinyi ndio wale wajinga mliokuwa mkiamini Askofu Pengo ndio mkuu wa kanisa katoliki Tanzania.
 
Wewe ni mkatoliki wa wapi? Taifa ni wapi katika kanisa katoliki?

Huna ulijuwalo ndio maana kazi yenu kupinga tu mkisikia yale msiyopenda kusikia.

Nyinyi ndio wale wajinga mliokuwa mkiamini Askofu Pengo ndio mkuu wa kanisa katoliki Tanzania.
Ahsante! Tumsifu Yesu Kristu!
 
Mkuu unashangaa RC kuwaombea waumini wengine wa kikristu nakuona kama hiyo ni Love?

Unaelezeaje kundi lingine lililosahaulika kwenye hayo maombi ambalo sio la kikristu?

Mwakasege, Gwajima na mzee wa upako nimewashuhudia wakiliombea taifa yani ni sala iliyohusisha watanzania wote wa dini zote na wasio na dini dhidi ya shetani

Hii kwako unaichukuliaje mzee?
Hata wasiokuwa waamini (pagans) huwa tunawaombea pia. Ni vile hajawataja tu hapa.
 
Mkombozi bank, chuo kikuu SAUT, mashule, mahospitali, kumbi za sherehe vyote hivi vinavyomilikiwa na kanisa katoliki vinasaidia nini? Ulishawahi kumuhoji paroko wako au Askofu?
Kwanza nataka nikujuze, Mimi ni Muislamu, wala siyo mkristo. Kumbuka hii mada imewekwa na mkatoriki, akipongeza viongozi wa kikatoriki, kuwa pamoja kusemwa vibaya na madhebu mengine ya kikirdto, bado Wakatoriki Wamewaombea Wakristo wenzao.

Vita ikanza pale walipojibu hawa wakulialia huku wamezima taa usiku huku wakiwa uchi.

Wakijifanya hawaelewi kilichoandikwa na kuwashambulia Waislamu.

Waislamu kama Waislamu hawana Shida na Wakristo hasa Waromani KKT na Wasabato.
Shida iko kwa wale wanaotafuta wafuasi ili kuongeza sadaka, lazima aponfe Uislamu na Waroma, Shuhuda za uwongo nyingii kunasa wajinga.
 
Mkombozi bank, chuo kikuu SAUT, mashule, mahospitali, kumbi za sherehe vyote hivi vinavyomilikiwa na kanisa katoliki vinasaidia nini? Ulishawahi kumuhoji paroko wako au Askofu?
Kwa hiyo ile hospitali ya BUGANDO Mwanza, hujaona inasaidia nini..!!!? Hospitali ya Peramiho iliyoko Ruvuma hujaona inasaidia nini..!!? etc.. Peramiho girls sec ya Ruvuma bado hujui imesaidia nini?? Pandahil secondary ya Mbeya bado hujui msaada wake? ST. Francis Sec pale Mbeya bado hujui msaada wake? Huna ndugu au rafiki anayesoma SAUT?

Natafakari sana maswali yako
 
Mkuu unashangaa RC kuwaombea waumini wengine wa kikristu nakuona kama hiyo ni Love?

Unaelezeaje kundi lingine lililosahaulika kwenye hayo maombi ambalo sio la kikristu?

Mwakasege, Gwajima na mzee wa upako nimewashuhudia wakiliombea taifa yani ni sala iliyohusisha watanzania wote wa dini zote na wasio na dini dhidi ya shetani

Hii kwako unaichukuliaje mzee?
Kuna kuombea nchi na kuna kuombea dhehebu/madhebu au dini nyingine... Ukumbuke, unapoombea nchi, huusishi muislamu, mluteli etc aliyeko nje ya Tanzania, wala mu-RC aliyeko nje ya Tanzania. Unapomuombea muislam, maana yake hata aliyeko TALIBAN umemuombea etc
 
Kwa hiyo ile hospitali ya BUGANDO Mwanza, hujaona inasaidia nini..!!!? Hospitali ya Peramiho iliyoko Ruvuma hujaona inasaidia nini..!!? etc.. Peramiho girls sec ya Ruvuma bado hujui imesaidia nini?? Pandahil secondary ya Mbeya bado hujui msaada wake? ST. Francis Sec pale Mbeya bado hujui msaada wake? Huna ndugu au rafiki anayesoma SAUT?

Natafakari sana maswali yako
SAUT watu wanasoma bure? Au hizo sehemu ulizoorodhesha wanatowa huduma bure?

Umelewa divai eheee?
 
Aliyesema Ukristu ni alama ya upendo ana uhakika? Chunguza kwa makini "tangu lini Mungu akamtoa mwanae kafara?". Binadamu ndio wanaotoa kafara na sio Mungu wa kweli.
 
Mkuu unashangaa RC kuwaombea waumini wengine wa kikristu nakuona kama hiyo ni Love?

Unaelezeaje kundi lingine lililosahaulika kwenye hayo maombi ambalo sio la kikristu?

Mwakasege, Gwajima na mzee wa upako nimewashuhudia wakiliombea taifa yani ni sala iliyohusisha watanzania wote wa dini zote na wasio na dini dhidi ya shetani

Hii kwako unaichukuliaje mzee?
Mzee, hoja ya mtoa uzi ni kwamba anastaajabu Kwanini Kanisa Katoliki ambalo linatukanwa na kuvuliwa nguo kila kona na watu wa Imani mbalimbali, Kutumia siku ya Ijumaa kuu,kwa namna ya pekee kuwaombea Wakristo wa madhehebu mengine ??, Hao unaowataja sio makanisa Bali ni watu,hebu tofauti watu na Makanisa.Aidha Kanisa Katoliki linapofanya hivyo ujue kuwa hiyo ni Dunia nzima kuna maombi ya aina hiyo,na ni miaka yote.Hao unaowataja hayo maombi yanafanywa Kidunia?,Je ni utaratibu wa miaka yote au hadi akijisikia?, Kanisa Katoliki ni utaratibu wala si swala la mtu fulani kujisikia ilishaandikwa kwenye vitabu vya muongozo wa ibada ya Ijumaa kuu, yaani Kanisa nzima duniani liliazimia kufanya hivyo.Hebu Angalia upekee huo,usikaze Kichwa.Mwisho nikuhoji je,hao uliowataja Wanatukanwa na kusakamwa hata kuvuliwa nguo km Kanisa Katoliki?.
 
Shida ipo hapa Roman Catholic wao sijui wana kipaji gani cha kujua hata yatakayotokea kesho?kwa ufupi ibilisi huwa anapita kwenye ukweli halafu anapenyeza ka mtego kake ili ukiingia tu anaenda kushtaki kwa Mungu,kumbuka ibilisi ndio mfalme wa Dunia ambae anazijua siri za ufalme wa mungu tusubiri siku 2300 zitimie.
Unamaanisha nini Mkuu??
 
Mkuu hebu nitajie ni amri ya ngap inasema hudhuria misa ijumaa kuu?
Amri ya kanisa
1. Hudhuria misa takatifu, dominika na sikukuu zilizoamriwa.

2. Funga jumatano ya majivu, na usile nyama ijumaa kuu

Amri ya kwanza ya kanisa inabeba majibu ya swali lako.
 
usisahau pia katika ndoa mkatoliki akitaka kumwoa mlokole/msabato/muislam wote hawa wanawekwa at the same par na wapagani tena kama walokole mkatoliki ana chuki mbaya sana nao anamwona kama takataka ikitokea wamekutanishwa pamoja huwa ni basi tu imetokea
Wewe Jamaa wewe, Hebu Muogope MUNGU, Kwanini unalishutumu Kanisa Katoliki kwa uongo?,Hivi wewe una Utofauti gani na Wayahudi waliomshutumu Yesu Kristo kwa uongo?.Mimi nafahamu kwa undani sana namna watu wasio Wakatoliki wanavyopokelewa Kanisani,hilo unalolisema sio Sahihi kabisa.Inawezekana huna uhakika na ukisemacho, labda ulisimuliwa tu na wazushi.
 
Ni kweli kabisa hiki kipengele kipo kwenye ibada ya ijumaa kuu. Leo Padre alivyosema tuwaombee wasiomjua na kumwamini MUNGU, nimejikuta namwombea Kiranga. Nimemwambia MUNGU, "MUNGU kuna mtu huko Jamie Forum anaitwa Kiranga, japo najua si jina lake halisi lakini wewe MUNGU unamjua zaidi Nakuomba umguse ili akujue na kuamini kuwa upo"
Amina
 
Mkombozi bank, chuo kikuu SAUT, mashule, mahospitali, kumbi za sherehe vyote hivi vinavyomilikiwa na kanisa katoliki vinasaidia nini? Ulishawahi kumuhoji paroko wako au Askofu?
Wewe ulishawahi kuchangishwa pesa kwaajili ya chuo kikuu Cha SAUT?
 
Unadhani kwenye hizo taasisi wanaohudumiwa ni wakatoliki tu? RC ni kanisa la dunia, hata sadaka unayotoa usidhani inaishia parokiani, Kuna asilimia zinaenda jimboni, mpaka makao makuu Vatican ili isambazwe mahala penye uhitaji ulimwenguni pote! Huko Somalia,Darfur kwenye vita wanahitaji misaada, Viongozi wakuu Vatican wanahitaji kuhakikisha huduma za kiroho zinaenea ulimwenguni pote siku zote! Kufikia sehemu zisizofikika! Kuongeza na kujenga tena na tena mashule mengine makanisa mengine mabenki mahospital zingine.Lengo sio kutafuta faida Bali kuihudumia jamii kimwili na kiroho.
Naam ndivyo ilivyo.Kuna kitu kinaitwa "Propaganda Fide",hii inahusu uenezaji wa Injili,baadhi ya pesa hupelekwa Vatican kwaajili ya uenezaji Injili maeneo yenye shida sana ili kujenga Makanisa na kupeleka misaada mbalimbali.
 
Amri ya kanisa
1. Hudhuria misa takatifu, dominika na sikukuu zilizoamriwa.

2. Funga jumatano ya majivu, na usile nyama ijumaa kuu

Amri ya kwanza ya kanisa inabeba majibu ya swali lako.
Kwamba mkuu unataka kuniambia nikila nyama ijumaa kuu ni dhambi?
 
Back
Top Bottom