Nilichogundua kuhusu Arusha

MANGOSHA TUKIANZA KUWEKA DATA WANAINGIA MITINI... HAPA WAKIRUDI BAADAE WANAKUJA KUBISHA TU HAHAHAHAHAHAHAHA.... BASI BISHENI KWA TAFITI AU DATA WALAU NA SI MANENO MANENO
 
MANGOSHA TUKIANZA KUWEKA DATA WANAINGIA MITINI... HAPA WAKIRUDI BAADAE WANAKUJA KUBISHA TU HAHAHAHAHAHAHAHA.... BASI BISHENI KWA TAFITI AU DATA WALAU NA SI MANENO MANENO
Ngosha wewe fisadi, kwetu Lindi tuko vizuri
 
Mkuu naona mangosha yamelala mbele....hahahah....!
Huyo mkuu wa chuo nilimwambia Kilimanjaro kuna maduka mengi kuliko Mwanza akawa anabisha tu.. Sasa NBS wanasema Kilimanjaro kwa mwaka 2014/15 biashara zilizoanzishwa ni 5695 wakati Mwanza ni 3944..

Sasa ukiwawekea tafiti na data wanaingia mitini wakirudi hapa wanakuja kubisha tu bila tafiti bali blah blah
 
Chapa n'gombe umekimbiza wote
hahahahaha mkuu hao ndio kawaida yao... Ukianza kuwawekea data na tafiti wanaingia mitini.. Mwanza huwezi kuifananisha na Arusha hata kidogo.. Tafiti zote zinaonyesha Arusha is more productive than Mwanza..
 
hahahahaha mkuu hao ndio kawaida yao... Ukianza kuwawekea data na tafiti wanaingia mitini.. Mwanza huwezi kuifananisha na Arusha hata kidogo.. Tafiti zote zinaonyesha Arusha is more productive than Mwanza..
Nimeishi mikoa yote hiyo,
Arusha imeiyacha mwanza mbali sana,Mwanza miaka hii 4 ndio imeanza chanua,
 
Kijana acha kujiaibisha unasema Mwanza inakua zaidi ya Arusha wakati tax collection ya Arusha ni mara 2 ya Mwanza

na utofauti wa ukuaji wa mwaka jana Arusha mapato yameongezeka kwa 60% huku Mwanza yameongezeka kwa 24% una maana gani kusema Mwanza inakua zaidi ya Arusha???

Ni kigezo gani unatumia kama verification ya point yako??
 
Sasa hiyo property tax haikusanywi Arusha mjini?

Sababu mnasema Arusha ni watalii tu.
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji123]
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji817] [emoji818]
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji817] [emoji818]
 
MANGOSHA TUKIANZA KUWEKA DATA WANAINGIA MITINI... HAPA WAKIRUDI BAADAE WANAKUJA KUBISHA TU HAHAHAHAHAHAHAHA.... BASI BISHENI KWA TAFITI AU DATA WALAU NA SI MANENO MANENO
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umeinae wao ni mboyoyo tu sisi tunaenda na facts sio maneno matupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…