Maana ya traffic lights ni control ya traffic conjunctions mfano flyovers za ubungo zikijengwa hakutakuwepo traffic lights pale the same to TAZARA pakikamilika hautaona traffic lights pale.
Arusha zipo maeneo 6 yenye traffic conjunctions tu.
Hahaaa mashindano ya baiskeli pia kuna mashindano ya safari lager kupiga makasia.mimi hom ni mwz ila kuna vitu vingi jiji la mwanza limekosa mall arusha ziko tatu n hotel za kitalii ndio za kumwaga hapo ndio utaona utaona utofauti mkubwa n mwz
Hivi nyegezi nayo ni stand kweli??
Na lile kundi la wakata tiketi kama nzige ni la mini?
Stand ya ngudu IPO nyegezi hivi unaweza kufananisha Yale mazingira na stand ya Arusha?
Siongeagi kishabiki mimi hivi pale nyegezi na like group la mama ntilie magenge yametapakaa kila mahali hapohapo wanapikia hapohapo wanaogeshea watoto unafananisha na Arusha??