Nilichogundua kuhusu Arusha

Hata kama wakileta international rappers kama T.I, Eminem, kanye west n.k huwez peleka Chuga...burdan hakuna kabisa Kule.....wasanii wa chuga ni promo tuu, hakuna lolote..!!!!
hawaitaji wakina T.I kuwaburudisha wanastyle zao kwanzia kuchana adi kucheza {kingalelo}.......... wanajikubali wao nahisi ndo kinachokukera coz naona kama waongea kwa chuki vile tena za wazi wazi kabisa!!........ kupigiwa promo kwa nani akati wanajiimbia wao na kujiburudisha wao wenyewe....... pia nina swali kwanini unakereka wao kua ivo?
 
Arusha labda ile satellite city iishe....na yenyewe inategemea Hela za wakwepa kodi akina mbowe
Hivi Mwanza kipo kipi hiyo Rock city mall labda wauze furu na udaga hiyo imewashinda ndio ijengwe nyingine saahuni hamna mwenye akili za aina hizo ile hotel ya nssf kule kapri point INA miaka so chini ya 10 bado IPO u\c hotel jb belmont imeshapigwa lock mda mrefu na malaika inauza tu chai ya rangi saivi siiongelei golden crest kifo cha mende sababu Mwanza hotel zipo 2 tu hizo nyingine ni guest houses.

Huko igoma mnaposema ndio prime area ni mazizi ya ng'ombe tu yametamalaki sidewalks barabani wamejaa wamama kwa vijana wamekaa chini wanauza karanga kuanzia nata mpaka sahara kuanzia nera mpaka voil city center pote wamejaa wamachinga Hanna njia ya waenda kwa miguu wachafuwachafu tu.
 
Hata kama wakileta international rappers kama T.I, Eminem, kanye west n.k huwez peleka Chuga...burdan hakuna kabisa Kule.....wasanii wa chuga ni promo tuu, hakuna lolote..!!!!
Sasa nyie bata mnalijua washamba tu villa ni vumbi tu imezungukwa na mitaro ya maji taka mabati ni kutu tupu viwanja vya kibabe vipo chugga sio hayo majamvi yenu.

Kwanza jengeni vyoo kwanza limjii ng'ombe wanachunguwa city center ukiingia tu ndani kidogo utafikiri upo bariadi au simiyu jiji limejaa ulugaluga washambaa wanashangaa tu vibugando vyenyewe vifupi vinahesabika.
 
Huo uwanja ndio nausikia leo, bila shaka utakuwa mdogo sana........ Shukuruni KIA upo jirani ndio unaokoa jahazi.
Acha uKIAzi. Kisongo ni Uwanja wenye ndege nyingi ndogo na hiyo ni Kwasababu ina runway fupi. Uwanja huo upo una ndege nyingi kuliko KIA. Lakini ndege ndogo
 
Usishangae sana.. Mwanza watu ni mara mbili karibia mara 3 ya Arusha lakini kodi Arusha inakusanywa mara 3 ya Mwanza... Utaona hapa pesa iko wapi
Tumia akili wewe sio kisa unakaa arusha ndio utumie masabuli....fata records utaona baada ya dar ni mwanza ndio inafata kwa ukusanyaji wa mapato.....arusha mmepigwa bao mpaka na mbeya, iringa na moro
 
Kufananisha Rock city na mavitu ya kijinga ni kuukosea heshima mkoa wa mwanza......arusha pana uzuri wake hila kwa sasa ligi yake ni mbeya, Tanga au iringa hila Mwanza is too far kwa ligi ndogo hiyo yenu.........
 
Kufananisha Rock city na mavitu ya kijinga ni kuukosea heshima mkoa wa mwanza......arusha pana uzuri wake hila kwa sasa ligi yake ni mbeya, Tanga au iringa hila Mwanza is too far kwa ligi ndogo hiyo yenu.........
Hivyo ni vijiji na ukivifananisha na Arusha ni dharau kwanza Arusha haipo kwenye mikoa yenye umasikini uliokithiri kama Mwanza.
 
Tumia akili wewe sio kisa unakaa arusha ndio utumie masabuli....fata records utaona baada ya dar ni mwanza ndio inafata kwa ukusanyaji wa mapato.....arusha mmepigwa bao mpaka na mbeya, iringa na moro
Aliyekudanganya nani bwana mdogo... Hao Mbeya wamezidiwa hadi na Mtwara.. Hao Mwanza wamezidiwa hadi na Kilimanjaro..
 
Alafu washamba washamba hahahaha
 
View attachment 403924View attachment 403925

Hyo satellite town ya mwanza inaendelea ujenzi wake...so usfikri mwanza ipo stagnant saaaana....!!!! Slow but steady.....
Hahahahaha huo uchafu sijui plot 500 ndio ufananishe na satellite city?? Huo uchafu mbona unafanywa na watu wa kawaida Arusha?? Tena usikute hata hiyo kampuni ni ya Arusha au Mchagga
 
Tetesi hahahahaha... Mikutano haiwezi amia Dodoma endeleeni kujidanganya. Hiyo mikutano ipo Arusha strategically sababu ya kuutangaza Utalii kwa njia rahisi.. Unafikiri utapeleka mikutano ya kimataifa sehemu kame kama Dodoma?? Thubutuuuu

Safari City is U/C tena kwa speed ya hatari..
 
Kuhusu uwanja wa ndege huo n mpango wa serikal hawatak kuuboresha huo wa kisongo ili watalii wawe wanashukia KIA na kwenda kwanza mlima kilimanjaro,ili waktoka huko ndo waje arusha
 
Hahahahaha huo uchafu sijui plot 500 ndio ufananishe na satellite city?? Huo uchafu mbona unafanywa na watu wa kawaida Arusha?? Tena usikute hata hiyo kampuni ni ya Arusha au Mchagga
Hivi ile kitu ya Mateves imefikia wapi...?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…