AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,319
- 4,140
Kosa unalo fanya ni kuwaacha waende. Wakijilengesha we piga na Vunja na ndoa zao kabisa. Maana kiapo walikula wao church sio wewe.
Kwawo wewe sasa ubebata ela umeaza ubwa bafuaa![]()


hivi mnajifunziaga wapi haya majibu ya kijinga hivoNidumie heda ya voja kwaza km kwedi uda besa![]()


kumbe mumebata heda na siyo hera au helaViberiti saivi unauzaje kwa packet??Walikuwa wananiambia oa nawaambia bado kwanza hawaelewi kwa nini kumbe mwenzao natafuta pesa kwanza, vijana wengi siku hizi wanaowa wakiwa bado hawana hela
Halafu wake zao tunakuja kuwala sisi wenye hela sababu nimekuwa nikiona wakina pale dukani kwangu wanavyobabaika wadada wazuri walitaka niwape pochi, nguo na vyatu wanipe mapenzi na huku wameolewa kabisa
Mimi ningekuwa muhuni nigetembea nao wanawake wengi sana basi tu vile si mtu wa mademu sana maana wanajua nina vijiela kidogo basi kila mara wananisifia mimi endinsamu mara napendeza sana mara sijui nini yaani mtu unaweza pata maugonjwa kama haupo makini.
kumbe mumebata heda na siyo hera au hela



punguza utotoWalikuwa wananiambia oa nawaambia bado kwanza hawaelewi kwa nini kumbe mwenzao natafuta pesa kwanza, vijana wengi siku hizi wanaowa wakiwa bado hawana hela
Halafu wake zao tunakuja kuwala sisi wenye hela sababu nimekuwa nikiona wakina pale dukani kwangu wanavyobabaika wadada wazuri walitaka niwape pochi, nguo na vyatu wanipe mapenzi na huku wameolewa kabisa
Mimi ningekuwa muhuni nigetembea nao wanawake wengi sana basi tu vile si mtu wa mademu sana maana wanajua nina vijiela kidogo basi kila mara wananisifia mimi endinsamu mara napendeza sana mara sijui nini yaani mtu unaweza pata maugonjwa kama haupo makini.
Guda bajibu baofyo do bana upodi bafua....Sijui
acha kumfundisha mwenzio tabia mbaya. Mwenzio hajuagi hayo mambo ujue



jirani yangu huyo namjua vyedi