YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,153
- 36,376
dipo jiradi seba tu tudapishada[emoji23][emoji23]
Semeji hajabo? Mwabie akube bimba [emoji23][emoji23][emoji23]
dipo jiradi seba tu tudapishada[emoji23][emoji23]
Usijali jiradi andaa tu madera😂😂🙈Semeji hajabo? Mwabie akube bimba [emoji23][emoji23][emoji23]
acha kumfundisha mwenzio tabia mbaya. Mwenzio hajuagi hayo mambo ujueJiradi umeedewa uwaje kubeda peda utadobwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] hio lugha inafurahisha sana aseeHaraf bona leeo haubo dugani kakwo nliguwa nimemutuma mutot ajukue dagaa
Wewe Bado huna hela endelea kukuza kamtaji Kako ka mapochiWalikuwa wananiambia oa nawaambia bado kwanza hawaelewi kwa nini kumbe mwenzao natafuta pesa kwanza, vijana wengi siku hizi wanaowa wakiwa bado hawana hela
Halafu wake zao tunakuja kuwala sisi wenye hela sababu nimekuwa nikiona wakina pale dukani kwangu wanavyobabaika wadada wazuri walitaka niwape pochi, nguo na vyatu wanipe mapenzi na huku wameolewa kabisa
Mimi ningekuwa muhuni nigetembea nao wanawake wengi sana basi tu vile si mtu wa mademu sana maana wanajua nina vijiela kidogo basi kila mara wananisifia mimi endinsamu mara napendeza sana mara sijui nini yaani mtu unaweza pata maugonjwa kama haupo makini.
Hongera sanaMuno sio kidogo
Utakuwa mnyasa weweSio mkimbizi tafazali ueshimu wegine