Baada ya kumaliza diploma yangu ya clinical medicine katika chuo cha mafinga ile nimefika tu mtaani siku ya pili nikakuta watoto wawili wa wapangaji wetu walikuwa wanafanya mapenzi kinyume na maumbile umri wao ulikuwa miaka 10.
Nilichukua bakora nikawachapa ,bakora 20 kila mtu wakati natoa adhabu hiyo wazazi wao walikuwepo tena walikuwa wanasema wachape bakora za kutosha waache tabia zao chafu,baada ya kucharaza bakora kila mtoto akaenda kwao.
Kesho asubuhi bahati mbaya mtoto mmoja akuweza kuamka (alifariki) sasa balaa likanijia mimi wale wazazi hawakunielewa wakaenda polisi wakasema mimi ndio nimeua nimempiga mtoto na gongo na mateke kisa ameiba nyama daaaaaah!
Kufupisha huu mkasa kifupi nilikaa mahabusu miezi 11 nashukuru MUNGU nikapewa msamaha kwa kuua bila kukusudia,sasa hivi nikikuta watoto wanafanya Mambo ya ajabu nawaacha kama walivyo sifatishi ule msemo "mtoto wa mwenzio muone Kama mtoto wako".
NB:Aisee tuishi kibepari tuachane na ujamaa, kama mtoto hakuhusu au hata kama unamjua awe ameiba, watoro shuleni nakusihi nk.. nakushauri achana nao jifanye kama hauwaoni kila mzazi afe na mzigo wake.