Nilesat, ses 5, amos 5 katika 6ft prime focus dish

Nilesat, ses 5, amos 5 katika 6ft prime focus dish

nictbb

Senior Member
Joined
May 18, 2012
Posts
119
Reaction score
9
IMG_20150531_144746_0.jpg IMG_20150531_144809_0.jpg

kwa bahati ndugu zangu leo nimebahatika ku attach picha ya setup ya NILESAT,SES 5,AMOS 5,katika dish ya ft 6, hiyo lnb ya rangi ya silver ya prime focus ku band ndo nnayopatia channel za nilesat kama dubai one,mbc nk,hiyo lnb ya chini yake yenye rangi nyeupe na mfuniko mwekundu,ndiyo napatia channel za ses 5,kama tv congo,france 24 nk,na hyo lnb nyeusi yenye mfuniko mweupe ni kwa ajili ya amos 5,na hapo napata local channels katika package ya continental ndugu zangu
 
pamoja sana kaka,kila mtu alifundishwa,tuliopewa uwezo wa kujifunza kabla ya wengine,tuwaelimishe na wenzetu jamani
 
nzuri kaka, sema hio modding sijaelewa kidogo. hizo lnb zimeshikiliwa na huo waya uliofungia tu? au kuna mechanisim nyengine. na hio alluminium ilioshikilia lnb zote tatu ni kama ile frame ya dirisha?
 
hapo vp hatuwezi kupata tv5 ya nigeria inafungua kwa biskey
 
Main ni ipi mkuu uliyoanzia kutafutia kisha nyingine zikafuatia
 
main kaka kiburudisho ni nilesat ambayo ndo hiyo prime focus ku band ya rangi ya silver,hizo lnb pia zimefungwa kwenye aluminium kaka,alafu wataalam kimaoni yangu tu,mi naomba tuwe twaelekezana ndani ya uzi huu jamani,maana utakuta mtu anauliza kitu,lakini mtoa majibu anasema nicheki watsup nkuelekeze,si vibaya ila wengine ambao hatuna cm zenye uwezo wa watsup tunakua tunakkosa hayo maelekezo atakayopewa mwenzetu,maana waeza kuta na mimi shida yangu ilikua hiyo hiyo,mtanisamehe kama ntakuwa siko sahihi
 
Je,naweza kupata Nilesat nikiwa Mbeya? Nitumie dish ya ukubwa gani?
 
View attachment 262872View attachment 262873

kwa bahati ndugu zangu leo nimebahatika ku attach picha ya setup ya NILESAT,SES 5,AMOS 5,katika dish ya ft 6, hiyo lnb ya rangi ya silver ya prime focus ku band ndo nnayopatia channel za nilesat kama dubai one,mbc nk,hiyo lnb ya chini yake yenye rangi nyeupe na mfuniko mwekundu,ndiyo napatia channel za ses 5,kama tv congo,france 24 nk,na hyo lnb nyeusi yenye mfuniko mweupe ni kwa ajili ya amos 5,na hapo napata local channels katika package ya continental ndugu zangu

Habari Kaka, tafadhali naomba unitumie hizo picha 2 kwa whatsapp +254725131283.
 
xory kaka kwa kutokujibu toka jana,kwa bahati mbaya sina access ya whatsapp wala fb kwa sasa,account zangu katika mitandao hiyo ya kijamii mezifunga kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu kaka,kama msaada wa hapa hapa jf utapata kaka,mara nyingi nakua online asubuhi na mchana mara chache kutokana na shughuli za kiofisi kaka
 
View attachment 262872View attachment 262873

kwa bahati ndugu zangu leo nimebahatika ku attach picha ya setup ya NILESAT,SES 5,AMOS 5,katika dish ya ft 6, hiyo lnb ya rangi ya silver ya prime focus ku band ndo nnayopatia channel za nilesat kama dubai one,mbc nk,hiyo lnb ya chini yake yenye rangi nyeupe na mfuniko mwekundu,ndiyo napatia channel za ses 5,kama tv congo,france 24 nk,na hyo lnb nyeusi yenye mfuniko mweupe ni kwa ajili ya amos 5,na hapo napata local channels katika package ya continental ndugu zangu

Nijuavyo Mimi nivigumu sana,kwa lugha nyingine huwezi ukaipata Nilesat kwa kutumia dish ft6 isipokuwa kuanzia ft8 na kuendelea.wewe mwenzetu unapatikana ukanda gani hapa Tz.
 
View attachment 262872View attachment 262873

kwa bahati ndugu zangu leo nimebahatika ku attach picha ya setup ya NILESAT,SES 5,AMOS 5,katika dish ya ft 6, hiyo lnb ya rangi ya silver ya prime focus ku band ndo nnayopatia channel za nilesat kama dubai one,mbc nk,hiyo lnb ya chini yake yenye rangi nyeupe na mfuniko mwekundu,ndiyo napatia channel za ses 5,kama tv congo,france 24 nk,na hyo lnb nyeusi yenye mfuniko mweupe ni kwa ajili ya amos 5,na hapo napata local channels katika package ya continental ndugu zangu

Mkuu km hutojali tupia frequency unazotumia kupata mbc ktk nilesat
 
kaka mi nko dar na hiyo setup iko mwananyamala
 
Dah wakuuu heshima kwenu. Nimeangika kichiz shusha na kupandisha kidishi cha azam kuitafuta nilesat 7w matokeo yake mikono tu kuuma... Matokea yake ni zero mpaka sasa... Lakn huu uzi utakuwa ndio mkomboz wangu aisee
 
Back
Top Bottom