brave Mwafrika
JF-Expert Member
- May 2, 2019
- 248
- 143
Mi xjaelewa apo, ebu ttuambie ayo maneno kwa kiswahiliHujaupata ndo maana unaona it's easy,ugonjwa wa UKIMWI initially unaanza kukuharibu psychology yako and mental disturbance ndo uje body/physical torture...worldwide mental diseases are difficult to cure,play safe fellow!!
Watu wengi licha ya kusoma na kufika level mbali mbali za elimu ambazo si za afya, tuna ule uelewa wa juu juu tu kuhusu mambo ya afya na hasa swala la maamnukizi ya UKIMWI.
wengi tunajua ni kutumia kinga tu.. Ambazo pia unakuta hazitumiwi kwa usahihi. HAPA NIONGELEE KUHUSU NAMNA GANI UTAAMBUKIZWA AU HAUTAAMBUKIZWA NA MTU MWENYE HIV/AIDS
unakuta mtu katembea na dem au jamaa ambaye baadae anashtuka kujua anatumia ARV 's halafu anapaniki na kuanza kulia.. Nikupe siri kwamba endapo utatembea na mtu ambaye ni mwathirika na kwa makusudi anatumia dawa na hajakwambia.. Endapo mtu huyo katumia ARV zaidi ya miez 6 hana uwezo wa kukuambukiza UKIMWI.
Niliona uzi wa mtu mmoja aliyetoa ushuhuda eti aliingia guest house na dada mmoja ambaye alizaliwa na maambukizi na akamkuta na HIV kwa kumpima,...Sidhan kama ni kweli sababu mtu aliyetumia ARV kwa miez 6 na kuendelea hata akipima anaonekana negative sababu ARV zinafubaza wadudu.. ndio maana kuna Nabii mmoja alijinasibu kuponya watu UKIMWI na anawaambie wakapime nje walete majibu. Akijua kabisa hawa watu. Ni watumiaji wa ARV muda mrefu.
Ni rahisi kupata UKIMWI kwa mtu asiyejua kama ameathirika na ukapiga peku.. Kuliko aliyeanza matumizi ya ARV
Hata wenye tabia ya kutembea na vipimo msije mkajipa uhakika wa kuwapima na kutotumia kinga kisa umekuta yuko negative siku hyo...
NB pima, kisha tumia condom.
Zisizo za asili ni zipinjia za asili ni zp mkuu nijuze
kaka fungua ubongo wako ,acha kufikiria ndani ya box,mtuawa/mtauliwa hadi lini kwa nadharia za kutungwa na watu wachache? ushawahi kumuona kirusi wa HIV? umbo lake likoje? ushawahi kuona hata mchoro wake? achenikudanganywa ili mtumie ARV mtajirishe watu then mjifie kipumbavu/.Mkuu what is HIV???. Kunavirus vinavyoshambila mfumo wa kinga ya mwili kiongozi. Hivi virus ndiyo vinanyo ambukizwa. Hayo magonjwa uliyoyataja kam TB huweza kuuvamia mwili kwa wepesi baada ya kinga ya mwili kudhofishwa na virusi hivyo. Au unataka ubishi tu???
Watu wengi licha ya kusoma na kufika level mbali mbali za elimu ambazo si za afya, tuna ule uelewa wa juu juu tu kuhusu mambo ya afya na hasa swala la maamnukizi ya UKIMWI.
wengi tunajua ni kutumia kinga tu.. Ambazo pia unakuta hazitumiwi kwa usahihi. HAPA NIONGELEE KUHUSU NAMNA GANI UTAAMBUKIZWA AU HAUTAAMBUKIZWA NA MTU MWENYE HIV/AIDS
unakuta mtu katembea na dem au jamaa ambaye baadae anashtuka kujua anatumia ARV 's halafu anapaniki na kuanza kulia.. Nikupe siri kwamba endapo utatembea na mtu ambaye ni mwathirika na kwa makusudi anatumia dawa na hajakwambia.. Endapo mtu huyo katumia ARV zaidi ya miez 6 hana uwezo wa kukuambukiza UKIMWI.
Niliona uzi wa mtu mmoja aliyetoa ushuhuda eti aliingia guest house na dada mmoja ambaye alizaliwa na maambukizi na akamkuta na HIV kwa kumpima,...Sidhan kama ni kweli sababu mtu aliyetumia ARV kwa miez 6 na kuendelea hata akipima anaonekana negative sababu ARV zinafubaza wadudu.. ndio maana kuna Nabii mmoja alijinasibu kuponya watu UKIMWI na anawaambie wakapime nje walete majibu. Akijua kabisa hawa watu. Ni watumiaji wa ARV muda mrefu.
Ni rahisi kupata UKIMWI kwa mtu asiyejua kama ameathirika na ukapiga peku.. Kuliko aliyeanza matumizi ya ARV
Hata wenye tabia ya kutembea na vipimo msije mkajipa uhakika wa kuwapima na kutotumia kinga kisa umekuta yuko negative siku hyo...
NB pima, kisha tumia condom.
Kwa hakri hizi tunamhitaji Magufuli atunyoshe kwa kweri.kaka fungua ubongo wako ,acha kufikiria ndani ya box,mtuawa/mtauliwa hadi lini kwa nadharia za kutungwa na watu wachache? ushawahi kumuona kirusi wa HIV? umbo lake likoje? ushawahi kuona hata mchoro wake? achenikudanganywa ili mtumie ARV mtajirishe watu then mjifie kipumbavu/.
HIV ni nadharia tu ,kiuhalisia hakuna kitu kama hicho,its an imaginary Virus ambao hawajawahi kuexist
hakri ndio nini?Kwa hakri hizi tunamhitaji Magufuli atunyoshe kwa kweri.
Watu wengi licha ya kusoma na kufika level mbali mbali za elimu ambazo si za afya, tuna ule uelewa wa juu juu tu kuhusu mambo ya afya na hasa swala la maamnukizi ya UKIMWI.
wengi tunajua ni kutumia kinga tu.. Ambazo pia unakuta hazitumiwi kwa usahihi. HAPA NIONGELEE KUHUSU NAMNA GANI UTAAMBUKIZWA AU HAUTAAMBUKIZWA NA MTU MWENYE HIV/AIDS
unakuta mtu katembea na dem au jamaa ambaye baadae anashtuka kujua anatumia ARV 's halafu anapaniki na kuanza kulia.. Nikupe siri kwamba endapo utatembea na mtu ambaye ni mwathirika na kwa makusudi anatumia dawa na hajakwambia.. Endapo mtu huyo katumia ARV zaidi ya miez 6 hana uwezo wa kukuambukiza UKIMWI.
Niliona uzi wa mtu mmoja aliyetoa ushuhuda eti aliingia guest house na dada mmoja ambaye alizaliwa na maambukizi na akamkuta na HIV kwa kumpima,...Sidhan kama ni kweli sababu mtu aliyetumia ARV kwa miez 6 na kuendelea hata akipima anaonekana negative sababu ARV zinafubaza wadudu.. ndio maana kuna Nabii mmoja alijinasibu kuponya watu UKIMWI na anawaambie wakapime nje walete majibu. Akijua kabisa hawa watu. Ni watumiaji wa ARV muda mrefu.
Ni rahisi kupata UKIMWI kwa mtu asiyejua kama ameathirika na ukapiga peku.. Kuliko aliyeanza matumizi ya ARV
Hata wenye tabia ya kutembea na vipimo msije mkajipa uhakika wa kuwapima na kutotumia kinga kisa umekuta yuko negative siku hyo...
NB pima, kisha tumia condom.
Kiongozi sijakupata. unaweza kudadavua ni kwamba hakuna kirusi wa hiv au!?kaka fungua ubongo wako ,acha kufikiria ndani ya box,mtuawa/mtauliwa hadi lini kwa nadharia za kutungwa na watu wachache? ushawahi kumuona kirusi wa HIV? umbo lake likoje? ushawahi kuona hata mchoro wake? achenikudanganywa ili mtumie ARV mtajirishe watu then mjifie kipumbavu/.
HIV ni nadharia tu ,kiuhalisia hakuna kitu kama hicho,its an imaginary Virus ambao hawajawahi kuexist
Naomba unisaidie kuelewa hawa watu wenye HIV /AIDS kwenye hii link walitumia muujiza gani?Acha kupotesha watu mkuu ,si kweli kwamba mtu akitumia dawa zaid ya miezi sita akipimwa anakutwa negative
Yaani ni big lies tena sisi watu wa afya itabidi tukuchkulie hatua kabisa kwa upotoshaji huu
Kinachopimwa kwenye vipimo vyetu hivi vya bioline na unigold ni antibodies specific for HIV na sio HIV virus mwenyewe
Licha ya vidudu kufubazwa na dawa bado antibodies zinakuwepo za kutosha kwenye mzunguko wa damu kuweza kusoma kwenye hivy vipimo nilivyotaja hapo hu
Ufuasi mzur wa dawa haumaanishi kwamba ukipimwa itasoma negative bali ukipima Viral load test ndo inasoma un detectable range
we hujawahi kuzini? au huzini?Ni ujumbe mzuri kwa wazinifu
we hujawahi kuzini? au huzini?
translation una mke? na hujawahi kuchepuka? na katika ujana wako hukuwahi kuafanya mapenzi hadi ulipooa?Sijawahi. Mimi huwa ninafanya mapenzi, ila sizini maana ni dhambi
translation una mke? na hujawahi kuchepuka? na katika ujana wako hukuwahi kuafanya mapenzi hadi ulipooa?
Nimesoma ujumbe uliotuma na kuuelewa mengi uliyoandika yana ukweli kabsaWatu wengi licha ya kusoma na kufika level mbali mbali za elimu ambazo si za afya, tuna ule uelewa wa juu juu tu kuhusu mambo ya afya na hasa swala la maamnukizi ya UKIMWI.
wengi tunajua ni kutumia kinga tu.. Ambazo pia unakuta hazitumiwi kwa usahihi. HAPA NIONGELEE KUHUSU NAMNA GANI UTAAMBUKIZWA AU HAUTAAMBUKIZWA NA MTU MWENYE HIV/AIDS
unakuta mtu katembea na dem au jamaa ambaye baadae anashtuka kujua anatumia ARV 's halafu anapaniki na kuanza kulia.. Nikupe siri kwamba endapo utatembea na mtu ambaye ni mwathirika na kwa makusudi anatumia dawa na hajakwambia.. Endapo mtu huyo katumia ARV zaidi ya miez 6 hana uwezo wa kukuambukiza UKIMWI.
Niliona uzi wa mtu mmoja aliyetoa ushuhuda eti aliingia guest house na dada mmoja ambaye alizaliwa na maambukizi na akamkuta na HIV kwa kumpima,...Sidhan kama ni kweli sababu mtu aliyetumia ARV kwa miez 6 na kuendelea hata akipima anaonekana negative sababu ARV zinafubaza wadudu.. ndio maana kuna Nabii mmoja alijinasibu kuponya watu UKIMWI na anawaambie wakapime nje walete majibu. Akijua kabisa hawa watu. Ni watumiaji wa ARV muda mrefu.
Ni rahisi kupata UKIMWI kwa mtu asiyejua kama ameathirika na ukapiga peku.. Kuliko aliyeanza matumizi ya ARV
Hata wenye tabia ya kutembea na vipimo msije mkajipa uhakika wa kuwapima na kutotumia kinga kisa umekuta yuko negative siku hyo...
NB pima, kisha tumia condom.
Thanks kwa maelezo mazuri.Niliwahi sikia ARV zinafubaza virus.Niliambiwa hata ukipata HIV leo ukaanza kutumia dozi za ARV unapona coz virus wanakua hawaja pata sehem ya kujificha.Nlikua sijui ishu ya mwenye HIV kutumia ARV ukimpima utamkuta negative.So hata ukimpima ukakuta Yuko fresh ukagonga dry Pima tena ukikuta ipo anza dozi ya ARV ukienda kupima utakuta Huna ngoma!
Ni kweli labda ubadili lishe tu, pamoja na vitamin & mineral kuongeza kingaHIV wakiingia mwilini mwa mtu hata atumie ARV zaidi ya miezi sita mtu huyo akipima ataonekana ni Positive tu
Lakini kwann imekuwa ni dhana sasa hata kwa baadhi ya watoa semina kwamba,kwa mtu ambaye anaishi na maambukizi ya virusi vya UKIMWI kwamba kama ni mfuasi mzuri wa dozi za ARV'S anao uwezo mdogo sana wa kumuambukiza mtu asio na hio shida kwanini...????Acha kuwapumbaza watu na kama umegegedwa na mtu muathirika subiri baada ya mwezi ukapime uridie kupima tena baada ya miezi mitatu asikudanganye ety ametumia ARV kwa muda mrefu.Haina uhusiano wowote na kuzuia maambukizi ukichubuka tu unao.Ila mtumiaji wa mudamrefu anayefwata masharti anaweza kuonekana negative lakini hai mzuii kuambukiza.Pia kuna vidonge vya PEP hivyo hutumika kuzuia maambukizi kama unauhakika damu yako imegusana na muathirika dose hii inatakiwa uanze haraka ndani ya masaa 72 baada ya kupata maambukizi,hii dose hutumiwa kwa siku 28 hadi 30 huzuia kabisa maambukizi.Had I muda njia nzuri ya kuepuka maambukizi ni kutumia condom kwa ufasaha hakuna janja janja ety kutumia vilainishi au kipimana kabla hamja duu hizo test kit zenyewe haziwezi kudetect virus kwa mtumiaji mzuri wa caffeine au ARV kwa muda mrefu.