Nikuite Nani?

Nikuite Nani?

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,077
Reaction score
17,260
jje's Sifa kibao nishasema, yote sababu nimezama Uzuri wako ndo unazidi nipa homa Haki ya nani mi nitakatia bima Mi sisikii napata raha Nitasubiri more honey Na sioni, baby karaha Long time nimedata nawe
.
[Pre-Chorus]

Wajua kwako mi mtoto tu Na jina lako nitachora tattoo Ushanifit changu kiatu Wajua baby vile I love you Wajua kwako mi mtoto tu Na jina lako nitachora tattoo Ushanifit changu kiatu Wajua baby vile I love you
.
[Chorus]

Baby, mamii jina gani ni sawa? Nikuite nani, darling? Tell me, kwako ikawe dawa La la lala lala Lala lala lala La la lala lala Lala lala lala
.
[Verse 2]
Kama zawadi nitakupa dunia, uitawale mama we (eiyeh) Mfano wa bahari juu mamii naelea nimejifia kwako we (eyeh) Ukamilishe uzima wangu, ukamilishe na nyumba yangu Ukawe amani ya moyo wangu milele eyei yei
.
[Pre-Chorus]
Wajua kwako mi mtoto tu Na jina lako nitachora tattoo Ushanifit changu kiatu Wajua baby vile I love you Wajua kwako mi mtoto tu Na jina lako nitachora tattoo Ushanifit changu kiatu Wajua baby vile I love you
.
[Chorus]
Baby, mamii jina gani ni sawa? Nikuite nani, darling? Tell me, kwako ikawe dawa La la lala lala Lala lala lala La la lala lala Lala lala lala
.
[Bridge]
Mboni yangu ina jina lako wewe We jela yangu nimejifunga mwenyewe Watose wote sitopenda uchezewe Nakudhamini mimi Mboni yangu ina jina lako wewe We jela yangu nimejifunga mwenyewe Watose wote sitopenda uchezewe ehee
.
[Chorus]
Baby, mamii jina gani ni sawa? Nikuite nani, darling? Tell me, kwako ikawe dawa La la lala lala Lala lala lala La la lala lala Lala lala lala
.
[Outro]
Aah aha ahh Mmh mhh Eiye eiyeh mmh mhh Yeah, I love you baby It’s your boy STUNTER!
 
Mkuu na wewe kwa kutafuta "kiki" hujambo!!
muache bby wangu, eti anatafuta kiki, nani kakwambiaaa

STUNTER my love, you know watasema mengi ila yasikutishe, mie niite vyovyote upendavyo honey nikisikia tu sauti yako mie hoi.

halafu nimegundua tunakoelekea tutakuwa wanamuziki wazuri sana maana unajua kuandika mashairi yaliyopangika na mie sauti yangu unaijua ilivyojipanga yenyewe.

nothing can separate us so worry out darling.
 
muache bby wangu, eti anatafuta kiki, nani kakwambiaaa

STUNTER my love, you know watasema mengi ila yasikutishe, mie niite vyovyote upendavyo honey nikisikia tu sauti yako mie hoi.

halafu nimegundua tunakoelekea tutakuwa wanamuziki wazuri sana maana unajua kuandika mashairi yaliyopangika na mie sauti yangu unaijua ilivyojipanga yenyewe.

nothing can separate us so worry out darling.
Haya bhana umeshinda wewe asante mkuu!!!vipi single itatoka lini!!
 
muache bby wangu, eti anatafuta kiki, nani kakwambiaaa

STUNTER my love, you know watasema mengi ila yasikutishe, mie niite vyovyote upendavyo honey nikisikia tu sauti yako mie hoi.

halafu nimegundua tunakoelekea tutakuwa wanamuziki wazuri sana maana unajua kuandika mashairi yaliyopangika na mie sauti yangu unaijua ilivyojipanga yenyewe.

nothing can separate us so worry out darling.
Bae as I told u before, hata waongee kwa kutumia visigino mimi sikuachi kamwe,
U r my soulmate
 
muache bby wangu, eti anatafuta kiki, nani kakwambiaaa

STUNTER my love, you know watasema mengi ila yasikutishe, mie niite vyovyote upendavyo honey nikisikia tu sauti yako mie hoi.

halafu nimegundua tunakoelekea tutakuwa wanamuziki wazuri sana maana unajua kuandika mashairi yaliyopangika na mie sauti yangu unaijua ilivyojipanga yenyewe.

nothing can separate us so worry out darling.
Hahaha...naombeni verse moja
 
Haya bhana umeshinda wewe asante mkuu!!!vipi single itatoka lini!!
subiria tu Mkuu, tuko vizuri sana ujue halafu hii single yetu itatikisa dunia cause nitakuwa najishebedua vya kutosha.

hhuhuhuhuhuhhhh
 
huhuhuuuuuu am jst jumping from inside me. jumping for joy
Sipati picha hilo tabasamu lako....
Vyenye ninavyolipenda cuz linaniangazia nakuniondolea giza la stress moyoni mwangu
 
subiria tu Mkuu, tuko vizuri sana ujue halafu hii single yetu itatikisa dunia cause nitakuwa najishebedua vya kutosha.

hhuhuhuhuhuhhhh
Usije ukawaonjesha ladha ya singo yetu mpya, subiri mpaka muda utimie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom