Mkuu kwa mtazamo wangu kushirikiana kibiashara unaweza kupata watu lakini kwa mfumo wa kimkopo unaoutaka sidhani kama utaweza kupata kwa hapa JF.Cha kukushauri nenda benki au taasisi yoyote ya kifedha kama Microfinance labda wataweza kukusaidia kwa uraisi.
Ni ushauri tu mkuu!
Hili ndio wazo la maana,hata Bank hakuna atakekupa pesa hizo kwa miaka miwili.Mwenye millioni nne zisizo na kazi ujuwe ana uwezo wa kuzalisha zaidi ya hivyo utakavyo mlipa wewe.
Hapo utapiga chini, badili tangazo, tangaza bishara yako tafuta partners wakuingia na wewe kwenye biashara hiyo, kuwa muwazi.
Kidole kimoja hakivunji chawa.
Hili ndio wazo la maana,hata Bank hakuna atakekupa pesa hizo kwa miaka miwili.
Tafuta partner,yaani wewe weka tangazo na uelezee jinsi biashara yako unavyoifanya kisha uweze kuvutia wadau waone kama mtu anaweza kuingiza mtaji na ukawa salama,maana hapo ni masuala ya kwenda kwa mwanasheria kama wana hisa
Haya kazi kwake sasaaweke hilo wazo lake...
Kama linalipa niingie ubia....