Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Ni kweli kamanda, si umeona kaikimbia thread yake baada ya kushtukiwa!
Umati wa watu waliokuwepo uwanjani walikuwa maelfu. Sasa hao milioni wangetokea wapi?
Umati wa watu waliokuwepo uwanjani walikuwa maelfu. Sasa hao milioni wangetokea wapi?
Mkuu umeniwahi huyu jamaa jana kadanganya kua wanachama Milioni Moja na Madiwani saba wa Magamba watajiunga na CDM sidhani hata watu elfu -umi kama walijiunga ile jana..
Jamaa muongo