Kaka mpaka sasa hujaja kumbe umetulia na kamchepu...Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
Mkuu siku hizi watoto wa Dar wamesahau kiswahili wanaongea Kiswanglish. Unasikia "jamaa amazing flan hivi".Sina hakika kama mleta uzi atakua amekuelewa hapo kwenye umaliziaji kwa lugha ya bepari..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mpe moyo ama pole mwenzako. Hayo mambo hayakomi, yapo tangu enzi za Abrahamu.Kwani lazima....UKOME
Na wanavyo tembea kwa mikogo barabarani, utadhani vilema[emoji12] [emoji12] [emoji12]Mkuu siku hizi watoto wa Dar wamesahau kiswahili wanaongea Kiswanglish. Unasikia "jamaa amazing flan hivi".
Kumbe ndo wewe nliyekuona umekaa meza moja na yule mdada aliyesuka rasta hivi..!Nimemwambia nimtoe out kakubari, sasa nimemleta nimemwambia tutafute chumba kakataa anasema hajisikii vzur yuko period, jaman mda mwingine mkiwa period muwe mnasema sasa apa naliwa tu..sijui nifanyaje najuta kuchepuka! Ukija light now hapa sinza mori unaniona nilivo Nuna, nimevaa shati la njano hapa Katalunya! Jamani....
teh jamaa ana spidi ya 4G!!Yani utongoze leo na mzigo upewe leoleo!
Mbona una spidi sana?
itakuwa imefunguliwa nyingine labda.Kwani na Mori kuna Catalunya pia?
Mwenzangu???? Mwenzangu huyo kwa upande gani labda????Mpe moyo ama pole mwenzako. Hayo mambo hayakomi, yapo tangu enzi za Abrahamu.