Michael Scofield
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 1,225
- 473
Mkuu kitufe cha Thanx hakipo ningekugonghea sana
Ila Mr Rocky anasema Asante sana kwa hii useful post
Nimegonga kwa niaba yako mkuu! usijali!
Mkuu kitufe cha Thanx hakipo ningekugonghea sana
Ila Mr Rocky anasema Asante sana kwa hii useful post
Ni kweli, kusahau huwa ni issue lakini, ngoja nikuulize swali la kizushi..... Ulishawahi kufiwa na mtu wako wa karibu, e.g. Baba, Mama, Dada, Kaka, au mtu mwingine yeyote yule aliyekuwa muhimu sana ktk maisha yako? Kwa kawaida watu huwa tunalia sana, tunaomboleza kwa kipindi kirefu na hata wakati mwingine tunaathiri hata mfumo wetu wa kawaida wa maisha, e.g. kazi, etc. Lakini, as time goes, slowly huwa tunasahau. Sasa kama watu wanaweza kusahau machungu ya vifo vya wapendwa wao, sembuse kumsahau Leah, tena ambaye hajawahi kukufanyia kitu chochote muhimu ktk maisha yako zaidi ya kukuumiza kwa kukutosa? My friend, two things to note, 1. To forgive is Divine, to forget is Human
2. Love can be learnt, so no need to fear. You need not to wait until you lose. It will be like
cooking an empty pot expecting to get a nice soup!
jua alivyokuwa muhimu kwako. Wanaume hatuhitaji sana kupenda, cha msingi ukipendwa ndio salama ya ndoa yako.
Nimegonga kwa niaba yako mkuu! usijali!
I think so na naweza kukuona wa ajabu kidogo
Mkuu kwa mwanaume kama likikutokea la kuachwa maisha sio mwisho baada ya kuachwa ila ndio mwanzo wa safari ndefu ya kujifikiria na kujisahihisha
Maana sometime tunashukuru Mungu kwamba may be Mungu kakuepusha na mengi kwa kumpenda mtu ambaye hata huko mbeleni kusingekuwa na future
Hapo unamuomba Mungu wako akusahaulishe hayo na kuanza maisha mengine mapya na kusonga mbele
Huwazi lililokjwishapita ila yale yanayokuja
Kaka siku nyingine ukome na hiyo staili yako ya mpaka muowane ndo mfanye.Ndo hasa kinachokuuma hapa wala sio mapenzi ya kihivyo.Cha kufanya wewe mpotezee tu endelea uliyekuwa nae sasa hivi.Au kama unaweza endelea ku mwinda ukimpata una mtupia nyavu halafu unatulia kwa huyu wa sasa.
Asante sana mkuu
halafu huyu jamaa anacheza na ushauri wetu
Yaani tumekaa hapa tunamuandikia maushauri ya nguvu yeye anazunguka tuu kama pia
Ahhh
Cha msingi kumwomba Mungu anisahaulishe ila hata hii thread imekuwa msaada mkubwa kwangu
Ha ha ah,
Nimekusoma Mr Rocky,tena sana
Kaka usijali tuendelee tu kumshauri huyu ni mwanaume mwenzetu, ingawa watu wanaliponda jukwaa letu la MMU, tutakomaa nao hivyo hivyo,
Siku naenda Mwarujo nilikomaaje hapo Hungumalwa mpaka walipokuja wenyeji wangu kunichukua hamu imeniisha.
Badilika basi
Achana na kuwaza yaliyokwishapita tena matapishi yako
Hata kama ulikula samaki wako mzuri akishatapikwa sio samaki tena ni matapishi
Achana na kuganga yaliyopita bana waza maisha yako na familia yako utakayotengeneza na mtarajiwa wako wa sasa
Mkuu sometime sisi wanaume tuna vituko sana
Unapendwa na kuonyeshwa upendo wa hali ya juu
Kumbe moyoni mwako unamuwaza ex wako wa miaka hiyo
Wengine hadi stimu ili zipande ni lazima wakumbuke wale wa zamani yaani inakuwa walio nao hawana hisia nao kabisa
Hahahahahah mkuu pabaya sana pale haswa usiku huwezi pita pale aise
Mkuu sometime sisi wanaume tuna vituko sana
Unapendwa na kuonyeshwa upendo wa hali ya juu
Kumbe moyoni mwako unamuwaza ex wako wa miaka hiyo
Wengine hadi stimu ili zipande ni lazima wakumbuke wale wa zamani yaani inakuwa walio nao hawana hisia nao kabisa
Hahahahahah mkuu pabaya sana pale haswa usiku huwezi pita pale aise
Ha ha ha ha,sasa inakuwaje hapo aisee kama stimu hakuna alafu umeoa mke,si migogoro tu alafu hatimaye anachukua houseboy
MKuu kweli! ndani ya ndoa kuna mambo hasa hii red inabidi kukabiliana nayo, bahadae unazoea tu ulienae unamzoea.
Pale jamaa walitaka kunizingua nikawaambia mie sio wa hivyo, kama vipi zikija basi nasepa, mbona pale kibao mida yote usafiri wa kumwaga. nilale sehemu kusikokuwa na Ngeleja.
Ndio maana tunakwambia jaribu sana kumpenda ulienae. na hisia ndio zitakuja lakini kama unamfikiria mwingine lakini jogoo anawika poa tu we zama ukitaka kufunga bao unamfikiria Leah! si kesi imeisha?Hapo ni sawa Scofield kwa maana ya kwamba ushauri mliotoa uko relevant.Ishu inakuwa kwangu sasa kuanza kutekeleza,Manake sometimes when we speak of things they tend to be easy,lakini
Hapo ni sawa Scofield kwa maana ya kwamba ushauri mliotoa uko relevant.Ishu inakuwa kwangu sasa kuanza kutekeleza,Manake sometimes when we speak of things they tend to be easy,lakini