Niko njia panda ya kona kali

Niko njia panda ya kona kali

umeona ehee.....! nadhani atakuwa mhaya huyu, ila inawezekana kosa lako ni kuonyesha wazi kwa mpenzi wako kuwa umempita kwa mbali kiuchumi wakati naye anajua kuwa anaweza kujitegemea bila wewe ila amekuja kwako mjenge familia na si kutegemeana hivyo anaonyesha jeuri yake ili nawe umtambue.

Ushauri wangu kwako punguza kujikuza au kudhihirisha uwezo wako na umchukulie kama equal partner in marriage institution.
wala hajui napata sh ngapi ila anajua namzidi tu sasa kujenga gani familia na mtu anayetaka mm ndo nipike nifue nideki au sivyo tukale hotelini?
 
Ni kwamba hamuendani, wote mnaonekana ni watu wa matawi na kujiskia so inakuwa ngumu kucope. Muachane mapema tu, na hisia vilevile hazipo ndoo maana unaona mambo yenu lazima mlazimishane. Na hata kutokukufanyia usafi ni kukunyali mwanangu hujui?
 

mwanamke mazingira bana!
hafai tupa kuleeee!
usije ukajuta kwa kula kiepe
cha bar kila siku, ilhali una mke!

 
we kijana elewa k2 kmoja hapo,ecomic status haileta m2 hard working au weak!,
Wew kama mpenz wako nyie wote mmekutana na tabia mbil tofaut hapo kinachtakiwa n kukaa p1 kuamua lyfstle yen na so kukmbilia Jf mamb madogo kama haya,emb 2mia elim yako kusolve matizo yako acha mayowe
niko njia panda mkuu
 
Linganisha pia umri na malezi, hata kama ni banker anaweza kuwa kama teens wengine kama alilelewa kivingine mfano kwao kulikuwa na housegirls wengi wa kumfanyia kila kitu au dada zake wakubwa waliotangulia kuolewa walikuwa wana-behave vipi kwa families zao? au wazazi wake hasa wa kike alikuwa aki-behave vipi kwa mwenzake mbele ya wao wakiwa watoto?
Pia nakushauri muwe mnatembelea familia mbili tatu marafiki ambazo mmezichagua kama role models inaweza kumsaidia kujua duniani watu ndani ya familia wanatekeleza majukumu vipi?
 
huu uchumba wa siku hizi ni tabu sana kwa watu wanaojitia wao wako juuuu kuliko wengine,wakati ndoa ni kuheshimiana na kumsikiliza mwenzio nini anapendelea nini hapendelei,kama unashindwa kutofautisha mbivu na mbichi mara mia ulambe red kadi uwaachie uwanja Man U na Liverpool
 
huu uchumba wa siku hizi ni tabu sana kwa watu wanaojitia wao wako juuuu kuliko wengine,wakati ndoa ni kuheshimiana na kumsikiliza mwenzio nini anapendelea nini hapendelei,kama unashindwa kutofautisha mbivu na mbichi mara mia ulambe red kadi uwaachie uwanja Man U na Liverpool
yaani yy ni kulala tu akiwa kwake ni kumtuma housegal. akiwa kwangu ananituma mimi
 
Niliwahi kupata demu wa kipare ilichukua masaa kabla nikimuandaa ku do!nilipotoa tu dushe lo!kama kaona cobra!aliogopa hadi nikawa na wasiwasi kwa nini imekuwa hivi!niliamuacha tangu cku hiyo kwani kwani hayo madudu wanawake wenzake wanayapenda hadi wanatamani kuyala

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
nakushauri uoe wake 5....

Mmoja dobi

mwingine mpishi

wa tatu wa kungonoka

wa nne mfagizi na piga deki

wa ttano wa kuosha vyombo

unaweza kuwa na nyumba ndogo ya kupiga pasi na kubrush viatu
 
yaani yy ni kulala tu akiwa kwake ni kumtuma housegal. akiwa kwangu ananituma mimi
my bro hiyo ni cha mtoto jiandae kumfulia na kupiga deki kama your compulsory obligations mkiingia kwenye ndoa,natambua ni vema kusaidiana ktk ndoa lakini huyo wa kwako ni majanga kabisa utakuja kuaibika kwa wageni siku moja utakapoamrishwa kufanya kitu badala yake ndo utajua jua linazama magharibi au kusini,mwanamke asiye na staha mwogope kama ukoma.
 
Linganisha pia umri na malezi, hata kama ni banker anaweza kuwa kama teens wengine kama alilelewa kivingine mfano kwao kulikuwa na housegirls wengi wa kumfanyia kila kitu au dada zake wakubwa waliotangulia kuolewa walikuwa wana-behave vipi kwa families zao? au wazazi wake hasa wa kike alikuwa aki-behave vipi kwa mwenzake mbele ya wao wakiwa watoto?
Pia nakushauri muwe mnatembelea familia mbili tatu marafiki ambazo mmezichagua kama role models inaweza kumsaidia kujua duniani watu ndani ya familia wanatekeleza majukumu vipi?
nimeshampeleka kwa kaka yangu ambaye mkee wake ana masters na ana watoto akajifunze muda anaorudi toka job kazi anazofanya lkn ni sawa na kupigia mbuzi gitaaa
 
nakushauri uoe wake 5....

Mmoja dobi

mwingine mpishi

wa tatu wa kungonoka

wa nne mfagizi na piga deki

wa ttano wa kuosha vyombo

unaweza kuwa na nyumba ndogo ya kupiga pasi na kubrush viatu
hapo umeua
 
Niliwahi kupata demu wa kipare ilichukua masaa kabla nikimuandaa ku do!nilipotoa tu dushe lo!kama kaona cobra!aliogopa hadi nikawa na wasiwasi kwa nini imekuwa hivi!niliamuacha tangu cku hiyo kwani kwani hayo madudu wanawake wenzake wanayapenda hadi wanatamani kuyala

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
huyu wangu kula mambo mpaka ushibe maana bao moja ni hekaheka za kufa mtu
 
Nadhani hapa jibu ni rahisi sana, kila mmoja ana vigezo vyake katika kutafuta aina ya mwanamke ama mwanaume wa kuishi naye, in short ni kwamba kila mtu ana mtizamo wake.

Mfano kama ningelikuwa mimi binafsi kwa sababu hizo tu ulieleza hapo juu hadi sasa kila mmoja wetu angelikuwa kivyake na mambo yake, hivyo ingekuwa story tu ya kwamba niliwahi kuwa na mahusiano na mtu wa hivi na vile, (hapo ni mimi)

Lakini kwa mwingine kwa sababu ulizozitaja anaweza kukushangaa wewe, huyu ni mwanaume wa namna gani nk,

Ndugu fanya uamuzi sahihi mapema hayo ni maisha yako ya baadaye, haya mambo ya kuoa leo kesho mahakamani katika harakati za kuvunja ndoa sio.
 
my bro hiyo ni cha mtoto jiandae kumfulia na kupiga deki kama your compulsory obligations mkiingia kwenye ndoa,natambua ni vema kusaidiana ktk ndoa lakini huyo wa kwako ni majanga kabisa utakuja kuaibika kwa wageni siku moja utakapoamrishwa kufanya kitu badala yake ndo utajua jua linazama magharibi au kusini,mwanamke asiye na staha mwogope kama ukoma.
ameshaniaibisha baada ya kuja kwangu akamkuta mdogo wangu. mdogo wangu aligeuka housegirl
 
kuna wengine ukiongea nao wanabadilika,na kuna wengine huwa ndio tabia zao.ki ukweli huyo dada ni mvivu. watu mwanzo mwanzo huficha makucha yao.kama utaweza kuwa nae na hayo uyaone ni kama mapungufu yake sawa,ila mazuri yake aliyokuwa nayo ni yepi?linganisha na amua uamuzi utakaokufaa mwenyewe
mazuri yake sijawahi kuhisi kama ni malaya pia kwa kumwangalia anadeserve kuwa mkee yaani she is calm
 
ameshaniaibisha baada ya kuja kwangu akamkuta mdogo wangu. mdogo wangu aligeuka housegirl

huo ni mwanzo tu,ningekuwa mi ndo mdogo wako angenijua mi nani wallah ungenipa nauli kesho yake nirudi nyumbani.
 
mazuri yake sijawahi kuhisi kama ni malaya pia kwa kumwangalia anadeserve kuwa mkee yaani she is calm

hata asipokuwa malaya atakusababishia ww kuwa malaya usifikiri utatulia kwenye hiyo ndoa believe me!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom