Niko njia panda ya kona kali

Niko njia panda ya kona kali

bid2015 uyo mtishie kwa kutompigia simu kumfuata fuata jifanye unachukua time kumuacha utaona kama hatabadilika basi ujue ni bomu utakoma ukimuoa huyo kwa kweli kama hafurahii kuwa mke na shughuli za ndani basi tena atakuwa dume mwenza.

wengi wanajisahau wanaume mna uwezo wa kupata mke atakaewatunza kwa fraha, hta kama mtu ana hg badi hg sio kugeuzwa kuwa mama mwenye nyumba. lazima mwanamke nae awajibike na kuonyasha uke.

Huyo mpe dawa yake mpotezee kumjaribu, kama akikupigia unajifanya upo busy etc hadi akome. atakutia aibu akiendelea kuwa hivyo ndugu zako hata marafiki watakucheka na ataishia kukufanya utafute nyumba ndogo ambayo sio vizuri kuzaa huku na kule.

Sasa amua je ukiishi nae utaweza mvumilia? au ndo utaishia kumpiga kwa hasira na tabia bovu.

fikiria uone ila ama awe wifi yangu ni no no noooooooooooooooo. ana dharau hata pete hajavalishwa. ukimvisha utamlamba na miguu
 
nimekuso vizuuuri!ila unajua kwanini huyo binti anafanya haya?
best una makidai ile mbaya!
nani alikwambia mwanamke ukimzid kipato mara elfu ndo akufanyie hilo?wewe ni mwanaume nina pesa oh nyumbani kiko hiv!i hate this kinda men!
mwanamke /mke anayejijua yupo na mwanaume /mume hayo wala sio shida kuyafanya!
wat if wewe ni kiume?
hata mimi siwezi kuwa mwanamke /mke kwa mwanaume wa aina yako!NAKUPASUA KICHWA TU!ujione si lolote si chochote!

muonyeshe kuwa wewe ni mume akuonyeshe kuwa yeye ni mke!`
anaweza kuwa yupo hapo kuspend tu ,ya nini ajitie kashda?
imagine hapo ni ubf na gf tu mineno taka kibao!oh mi nna mshahara mkubwa,sijui kwetu tunazo!
mphewwwwwwwwwwwwwww!
SIMAMA WEWE best!
 
Kwani ndugu yangu unataka huyo dada akufulie nguo kama nani? Rafiki, mchumba au mume? Je ni haki wewe rafiki yako wa kike kukufulia na je ni wajibu wake kukupikia chakula? Pia angalia ndugu yangu usije ukawa ulishaonyesha dalili za kutaka akufanyie mambo kwa vile tu umemzidi kipato na familia yako iko vizuri. Pengine hyo binti ni maskini jeuri lakini anakupenda na ndo maana kwa mujibu wa maelezo yako huwa anakupa mchezo ingawa unalalamika anakubania. Je unataka akupe kama vile wewe ni mumewe? Kumbukahuna haki hapo unazini mwanakwetu ! Samahani kama ushauri wangu haukukupendeza !!!
 
Muoe kwanza atajirekebisha mbele kwa mbele. Nionavyo mm na jinsi nilivyosoma uzi wako nyinyi wote ni watu wakujisikia hivyo naona mtafit sana.

Kulikuwa hakuna haja ya kutaja mshahara wa mchumba wako hapa na kutueleza unamzidi kwa kiasi gani kwa kuwa kasoro za mtu hazihusiani na alichonacho. Mbona wapo waliooa wanawake toka familia borazaidi yao na bado wanaishi kwa amani, heshima, upendo na kuthaminiana kwa hali ya juu.
 
ww mtoa mada kabila gani?manaake hayo makidai dah!
tena ningekua mimi ndo cgusi hata kitu c una hela!!
 
mi nawashangaa sana wadada wasomi kwa nini wamekaa kilegevulegevu? yaani mtu hata kutandika kitanda hawezi jamani hii ni aibu....eti kuna rafiki yng yeye ameolewa aliniambia ana miaka 6 hajawahi kuingia jikoni.....anamsifia house girl wake anajua kupika kweli....

mimi nimeolewa kwa zaidi ya miaka 10 na ninafanya shughuli za nyumbani(isipokuwa kufua nafua na mashine) lkn naingia jikoni napika, chumbani kwangu na bafuni kwangu nafanya usafi mwenyewe, nguo zangu na za mume wangu nazipasi mwenyewe...naogesha watoto n.k na hapo si kwamba ni mm wa nyumbani, la nina elimu ya masters na ninafanya kazi tena ofisini kwangu mimi ni bosi na nimempita mume wangu kipato...lkn kazi ndogo ndogo za nyumbani nazifanya nikipata nafasi..
wadada tuache uvivu, kusoma sio kwamba wewe ndio kulala tu siku za week end, au kutoka out tuuuu na kwenda saloon....basi... kuna vitu vingine vinakufanya uwe mama mzuri na mke bora zaidi kuliko kujilegeza legeza na kusubiri kufanyiwa kila kitu....si lazima ufanye kila siku , la angalia ratiba yako alau hata mara moja moja unaweka mambo fresh....sio wewe mwanzo wa mwaka mpaka mwisho wa mwaka hujui hata kusafisha choo unachojisaidia nyumbani.....kweli ni aibu

Hongera sana kamusi, wapo wanawake wachache sana wenye upeo wa kufikiri kama wewe.
 
What are you waiting gentlemen??Unganisha nukta,songa mbele na maisha yako,hizo ni security alets ambazo mungu anakuonyesha ili ufanye maamuzi ya mwisho kabla ya kuingia kwenye ndoa!!kama unataka wa kukufanyia hayo na unahisi ukifanyiwa hivyo utaridhika na maisha yako basii achana nae kiroho saafi,subiri utapata wa kuziba hayo mapengo hapo juu at least kwa 50%.Marriage is our last, best chance to grow up,msiharibiane,huwez jua labda ana manamume wake kaandaliwa wa aina yake.
 
At least she is honest. Ulitaka awe anajionesha maridadi katika kazi halafu ukimuoa aoneshe her true colours. Eventhough i am jobless but i can not wash, clean house for someone whom i am not sure if he is going to marry me.
 
Mkuu umenichekesha sana sasa hayo ya kuwa na hela zaidi yake mara hata home kwenu mnamzidi yamekujaje ??

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Babu nimependa muono wako...

safari za Rwanda ni neema tu. Ila lazima uwe vizuri na bosi wako ndo upate iyo safari.

Haha haaa haaa..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mkuu hii imenichekesha sanaaa.. ANATUMA kama mhind vileeeee!

Tuache utani lakini.. Ukiachilia mbali majivunoo yako huyo mdada hafai.. Kabisaaaaa, kuajiri tu hausigeli ili hali anaishi peke yake ni alert ya kwanza.

BTW kuosha vyombo, kufua, kutandika kitanda mvivu.. Hata KUPIGA GAME Mvivu sasa anaweza nini ???

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Salamu sana mwanza & Dar.
Nina miaka 27, nafanya kazi mkoa fulani Hivi karibuni nilipata mchumba wa kipare nikaamua nimuoe lkn kwa bahati mbaya au nzuri nishindwa kumuelewa kwasababu
1) ni mvivu sana nilienda kwake yaani hata kunifuria nguo hapana wala kunipikia
2) anamfanyakazi wa ndani kumbuka yuko pekee yake
3) kunipa penzi mpaka purukushani yaani ni bao moja tena la shida
alikuja kwangu hali ikawa hivi
A) hakugusa chombo hata siku moja
B) hakupika hata siku moja
C) hakudeki hata siku moja
D) hakunifulia hata siku moja
N.B ananiambia hawezi kujibembeleza kwa mtu coz ataonekana sio msomi.. yeye ni bank officer na anafanyia kazi mkoani kwetu means home kwetu anapajua kipato changu ni mara tatu yake yy salary yake ni laki 7 kwa vyovyote nampita mbaaali na pia home tuko vzr kuwazidi wao sana.
sasa nashindwa kuelewa huyu dada kwann yuko hivi yaani mm pamoja na hela nazopata na KUWA MWANAUME naishi pekee yangu
Je huyu mdada anafaa kuwa mke? nishaurini waungwana
 
Back
Top Bottom