Niko njia panda ya kona kali

Niko njia panda ya kona kali

we kijana elewa k2 kmoja hapo,ecomic status haileta m2 hard working au weak!,
Wew kama mpenz wako nyie wote mmekutana na tabia mbil tofaut hapo kinachtakiwa n kukaa p1 kuamua lyfstle yen na so kukmbilia Jf mamb madogo kama haya,emb 2mia elim yako kusolve matizo yako acha mayowe
 
Mh...ukiwa unapika yeye anaosha vyombo..ukiwa unafua anapika labda...hapo kidogo nitaelewa.

Kwaiyo???? wakati wewe unafanya yote hayo yeye anafanya nini?

Yeye wakati wote huo hakufua nguo zake mwenyewe? au alikuja nazo nyingi akazikusanya?

Wakati wa kuoga nani anatangulia kuingia bafuni? in case yeye ndo wa mwisho huwa anafanya fanya usafi?

Duh, kona yako kali kuliko Msambiazi...ila rahisi sana kuinavigate.

Ana house help???? anasoma na kufanya kazi labda?

Mlikutanaje? wapi? nini kilikuvutia kwake? (hii ni kwa ajili ya wengine pia kujifunza)

1. chukua kwanza ushauri wa Neylu

2. kuwa alarmed abt the kind of wife u r about to get for yourself

NB: Babu Asprin, ulizani yule asiyefika Kibo peak ni makubwa? njoo uone huyu eti kisa mchumba basi hafanyi chochote..
 
Last edited by a moderator:
Mh...ukiwa unapika yeye anaosha vyombo..ukiwa unafua anapika labda...hapo kidogo nitaelewa.

Kwaiyo???? wakati wewe unafanya yote hayo yeye anafanya nini?

Yeye wakati wote huo hakufua nguo zake mwenyewe? au alikuja nazo nyingi akazikusanya?

Wakati wa kuoga nani anatangulia kuingia bafuni? in case yeye ndo wa mwisho huwa anafanya fanya usafi?

Duh, kona yako kali kuliko Msambiazi...ila rahisi sana kuinavigate.

Ana house help???? anasoma na kufanya kazi labda?

Mlikutanaje? wapi? nini kilikuvutia kwake? (hii ni kwa ajili ya wengine pia kujifunza)

1. chukua kwanza ushauri wa Neylu

2. kuwa alarmed abt the kind of wife u r about to get for yourself

NB: Babu Asprin, ulizani yule asiyefika Kibo peak ni makubwa? njoo uone huyu eti kisa mchumba basi hafanyi chochote..


Maswali mengi yasiyo na majibu.... ila pamoja na hayo yoooote mi nimepaona hapa tuuuuu baaaasi!! Hivi nyie madreva wa Rwanda mnalipwaga aje?

Na Je laki saba mara tatu ni umbaaaali kiasi hani vile?

N.B ananiambia hawezi kujibembeleza kwa mtu coz ataonekana sio msomi.. yeye ni bank officer na anafanyia kazi mkoani kwetu means home kwetu anapajua kipato changu ni mara tatu yake yy salary yake ni laki 7 kwa vyovyote nampita mbaaali na pia home tuko vzr kuwazidi wao sana.
 
Pole kaka yangu kwa hilo janga.Mara nyingi watu wa type hiyo huwa ni watanashati sana yaani huwezi kuamini but ndo hivyo alivyo. Pamoja na jinsi hiyo nadhani ni vyema ukajaribu kumwulizia kwa kina ni kwa nini anakuwa hivyo then atakueleza tena maana sababu aliyotoa si sababu ya msingi kwa mtu mwenye akili timamu.
 
hebu kamwulize tena huyo jamaaa.....
hivi amesema kabila ganiiiiiiiiiiiii?....................INAHUUUUUUUUUUUU?!ni kabila au 'alivyo ndivyo alivyo'?

hata kama ni mimi.....mtu ana mabobishi namna hiyo........tuna watu wetu tunaowapenda bana.....mpaka kuwaogesha.....sembuse kufua........
 
Maswali mengi yasiyo na majibu.... ila pamoja na hayo yoooote mi nimepaona hapa tuuuuu baaaasi!! Hivi nyie madreva wa Rwanda mnalipwaga aje?

Na Je laki saba mara tatu ni umbaaaali kiasi hani vile?

Babu nimependa muono wako...

safari za Rwanda ni neema tu. Ila lazima uwe vizuri na bosi wako ndo upate iyo safari.
 
Nina miaka 27, nafanya kazi mkoa fulani Hivi karibuni nilipata mchumba wa kipare nikaamua nimuoe lkn kwa bahati mbaya au nzuri nishindwa kumuelewa kwasababu
1) ni mvivu sana nilienda kwake yaani hata kunifuria nguo hapana wala kunipikia
2) anamfanyakazi wa ndani kumbuka yuko pekee yake
3) kunipa penzi mpaka purukushani yaani ni bao moja tena la shida
alikuja kwangu hali ikawa hivi
A) hakugusa chombo hata siku moja
B) hakupika hata siku moja
C) hakudeki hata siku moja
D) hakunifulia hata siku moja
N.B ananiambia hawezi kujibembeleza kwa mtu coz ataonekana sio msomi.. yeye ni bank officer na anafanyia kazi mkoani kwetu means home kwetu anapajua kipato changu ni mara tatu yake yy salary yake ni laki 7 kwa vyovyote nampita mbaaali na pia home tuko vzr kuwazidi wao sana.
sasa nashindwa kuelewa huyu dada kwann yuko hivi yaani mm pamoja na hela nazopata na KUWA MWANAUME naishi pekee yangu
Je huyu mdada anafaa kuwa mke? nishaurini waungwana

Mimi mke wangu(wakati tukiwa wachumba) nilifikia hatua kama yako. Alikuwa mvivu kupindukia. Niliona ni mvivu ila nikajifunza mengi sana. Nashare na wewe sasa;

==>Mke wangu kwao hakuzoea kufanya sana kazi, kulikuwa kuna wasaidizi wa ndani full time. So kwake kupika, kufua, kudeki sio priority

==>Tendo la ndoa sitazungumzia sana

Nilichofanya.......


Nilimpa ukweli kuwa ninahisi ni mvivu na sifurahii. Nyumba si lazima iwe inasafishwa na dada wa kazi. Sio lazima anifulie nguo ila kama mwanamke(mama wa nyumbani) inampasa kuhakikisha mume(kipindi hicho) mchumba wake niko smart na msafi.

Kiukweli mimi nina kiuvivu fulani hivi.

Nami pia nikaomba ushauri humu humu jamiiforums, nikashauriwa, nikajirekebisha. Kwanza nikajirekebisha kuhusu usafi binafsi na usmart. Kwamba si lazima nisubirie anifulie nguo(wakati tukiwa wachumba), nilikuwa nafanya mwenyewe.

Na pia nikamwambia kwa upole wa hali ya juu.... Akanielewa na kubadilika


Kweli nakwambia, akifua nguo alikuwa anachubuka mikono(vidonda) lakini sasa hachubuki tena. Dada msaidizi tunae just wa kusaidia vitu vidogo vidogo.
 
Sio kosa lake kalelewa na mahousegirl kwao,hata uji kupika hajui
 
nenda mwana hamna kitu kama hicho,hata ungekuwa unalipwa laki moja nae million 1 hawezi kukupa penzi la malalamishi,ukisha ona kila ukimvua mwenzi wako ch...p.. analalamika we anza kukusanya mafaili mda wa kazi umeisha.
wenye PHD wanaosha vyombo yeye na ukarani wa bank,khaa! yani hata muongee vipi tabia ni tabia tu haibadiliki,huyo hiyo ni tabia wala si kabila
 
Huyo dada amegundua wewe una misifa ya kijinga ndo maana anakufanyia vituko hvo,kwa kifupi hana mpango na wewe kutokana na haya masifa yako ya kijinga,eti ooh una mshahara mkubwa mara kwenu mko vizur kuwazidi wao.sasa unatutangazia huo utajiri wako ili sie tufanyaje!ovyoo
 
Nina miaka 27, nafanya kazi mkoa fulani Hivi karibuni nilipata mchumba wa kipare nikaamua nimuoe lkn kwa bahati mbaya au nzuri nishindwa kumuelewa kwasababu
1) ni mvivu sana nilienda kwake yaani hata kunifuria nguo hapana wala kunipikia
2) anamfanyakazi wa ndani kumbuka yuko pekee yake
3) kunipa penzi mpaka purukushani yaani ni bao moja tena la shida
alikuja kwangu hali ikawa hivi
A) hakugusa chombo hata siku moja
B) hakupika hata siku moja
C) hakudeki hata siku moja
D) hakunifulia hata siku moja
N.B ananiambia hawezi kujibembeleza kwa mtu coz ataonekana sio msomi.. yeye ni bank officer na anafanyia kazi mkoani kwetu means home kwetu anapajua kipato changu ni mara tatu yake yy salary yake ni laki 7 kwa vyovyote nampita mbaaali na pia home tuko vzr kuwazidi wao sana.
sasa nashindwa kuelewa huyu dada kwann yuko hivi yaani mm pamoja na hela nazopata na KUWA MWANAUME naishi pekee yangu
Je huyu mdada anafaa kuwa mke? nishaurini waungwana


mi nawashangaa sana wadada wasomi kwa nini wamekaa kilegevulegevu? yaani mtu hata kutandika kitanda hawezi jamani hii ni aibu....eti kuna rafiki yng yeye ameolewa aliniambia ana miaka 6 hajawahi kuingia jikoni.....anamsifia house girl wake anajua kupika kweli....

mimi nimeolewa kwa zaidi ya miaka 10 na ninafanya shughuli za nyumbani(isipokuwa kufua nafua na mashine) lkn naingia jikoni napika, chumbani kwangu na bafuni kwangu nafanya usafi mwenyewe, nguo zangu na za mume wangu nazipasi mwenyewe...naogesha watoto n.k na hapo si kwamba ni mm wa nyumbani, la nina elimu ya masters na ninafanya kazi tena ofisini kwangu mimi ni bosi na nimempita mume wangu kipato...lkn kazi ndogo ndogo za nyumbani nazifanya nikipata nafasi..
wadada tuache uvivu, kusoma sio kwamba wewe ndio kulala tu siku za week end, au kutoka out tuuuu na kwenda saloon....basi... kuna vitu vingine vinakufanya uwe mama mzuri na mke bora zaidi kuliko kujilegeza legeza na kusubiri kufanyiwa kila kitu....si lazima ufanye kila siku , la angalia ratiba yako alau hata mara moja moja unaweka mambo fresh....sio wewe mwanzo wa mwaka mpaka mwisho wa mwaka hujui hata kusafisha choo unachojisaidia nyumbani.....kweli ni aibu
 
Nina miaka 27, nafanya kazi mkoa fulani Hivi karibuni nilipata mchumba wa kipare nikaamua nimuoe lkn kwa bahati mbaya au nzuri nishindwa kumuelewa kwasababu
1) ni mvivu sana nilienda kwake yaani hata kunifuria nguo hapana wala kunipikia
2) anamfanyakazi wa ndani kumbuka yuko pekee yake
3) kunipa penzi mpaka purukushani yaani ni bao moja tena la shida
alikuja kwangu hali ikawa hivi
A) hakugusa chombo hata siku moja
B) hakupika hata siku moja
C) hakudeki hata siku moja
D) hakunifulia hata siku moja
N.B ananiambia hawezi kujibembeleza kwa mtu coz ataonekana sio msomi.. yeye ni bank officer na anafanyia kazi mkoani kwetu means home kwetu anapajua kipato changu ni mara tatu yake yy salary yake ni laki 7 kwa vyovyote nampita mbaaali na pia home tuko vzr kuwazidi wao sana.
sasa nashindwa kuelewa huyu dada kwann yuko hivi yaani mm pamoja na hela nazopata na KUWA MWANAUME naishi pekee yangu
Je huyu mdada anafaa kuwa mke? nishaurini waungwana

Kula kona hafai huyo!!
 
Huyo dada amegundua wewe una misifa ya kijinga ndo maana anakufanyia vituko hvo,kwa kifupi hana mpango na wewe kutokana na haya masifa yako ya kijinga,eti ooh una mshahara mkubwa mara kwenu mko vizur kuwazidi wao.sasa unatutangazia huo utajiri wako ili sie tufanyaje!ovyoo

Umemulewa vibaya, anajaribu kuonyesha kwamba hata ungekuwa na kipato kiasi gani, kuna vitu lazima vifanyike. Kaka huyo demu msukumie nje akolewe na akina papa msoffe! lol
 
Wanawake wa kisasa hao,hapo lazima ukome tena banker,mpare mwee
 
Kwa nini wapenzi mnashindwa kuzungumza?
Hapo mimi ndio nashindwa kabisa kuelewa, kwa nini ukose uhuru na mpenzi wako, ongea nae mweleze nini unapenda na kitu gani ungependa akufanyie wewe kama mpenzi wake..! Ukiona hamuendi sawa, kila mtu achukue ustaarabu wake..!
tushazungumza sana Neylu lkn habadiliki kabisa yaani hata sielewi
 
punguza kujisfia kwanza

umeona ehee.....! nadhani atakuwa mhaya huyu, ila inawezekana kosa lako ni kuonyesha wazi kwa mpenzi wako kuwa umempita kwa mbali kiuchumi wakati naye anajua kuwa anaweza kujitegemea bila wewe ila amekuja kwako mjenge familia na si kutegemeana hivyo anaonyesha jeuri yake ili nawe umtambue.

Ushauri wangu kwako punguza kujikuza au kudhihirisha uwezo wako na umchukulie kama equal partner in marriage institution.
 
  • Thanks
Reactions: KUN
checki kwenye redi na utoke nduki haraka sana ; gumegume hilo;
navojua mimi; ukiingia kwa ndoa utakoma na atakutenda zaiodi ya hayo; hakupendi wala hakufai

zingatia unataka vitu gani mke akufanyie maishani; mi nataka afue , apike, na penzi tamu atoe nilishibe kaka utahangaika na michangu ukioa; hii nakusaidia; tafuta mwingine ndugu yangu; taratibu na omba sana mungu. kuishi na mke kazi



Nina miaka 27, nafanya kazi mkoa fulani Hivi karibuni nilipata mchumba wa kipare nikaamua nimuoe lkn kwa bahati mbaya au nzuri nishindwa kumuelewa kwasababu
1) ni mvivu sana nilienda kwake yaani hata kunifuria nguo hapana wala kunipikia
2) anamfanyakazi wa ndani kumbuka yuko pekee yake
3) kunipa penzi mpaka purukushani yaani ni bao moja tena la shida
alikuja kwangu hali ikawa hivi
A) hakugusa chombo hata siku moja
B) hakupika hata siku moja
C) hakudeki hata siku moja
D) hakunifulia hata siku moja
N.B ananiambia hawezi kujibembeleza kwa mtu coz ataonekana sio msomi.. yeye ni bank officer na anafanyia kazi mkoani kwetu means home kwetu anapajua kipato changu ni mara tatu yake yy salary yake ni laki 7 kwa vyovyote nampita mbaaali na pia home tuko vzr kuwazidi wao sana.
sasa nashindwa kuelewa huyu dada kwann yuko hivi yaani mm pamoja na hela nazopata na KUWA MWANAUME naishi pekee yangu
Je huyu mdada anafaa kuwa mke? nishaurini waungwana
 
Back
Top Bottom