Marry Diana
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,418
- 4,113
- Thread starter
- #21
Pole Kwa Mawazo mgandoUmalaya tu
Pole Kwa Mawazo mgandoUmalaya tu
Haya njoo Msasani tuendeleze hiyo furaha yako.Tabata kinyerezi
Upo nyumbani kwenuShikamooni wakubwa kaka, dada zangu na wengine.
Mmh Leo Nina furaha nimeamka tangu alfajir najikuta nina mudi ya kazi ,mpaka saa moja kamili nilishamaliza kila kitu kuanzia kufua , kufanya usafi wa nyumba na kila kitu.
Na nilivyo peke yangu leo basi tu najikuta mwenye furaha hata sijui inasababishwa na nini, huenda Mungu kaamua kunipa upendeleo leo, ila mbona kama kuna kitu namisi?
Yaani furaha haikamiliki,ngoja nijipumzishe Kwanza Kwa najua shetani anaweza kuniharibia , zawadi hii ya leo.
Karibuni wanajukwaa tufurahi
Niwapenda mdogo wenu❤️❤️❤️
Msisitizo "UMALAYA TU" sasa unamiss unamiss nini km sio kukunwa kine...Pole Kwa Mawazo mgando
SawaMsisitizo "UMALAYA TU" sasa unamiss unamiss nini km sio kukunwa kine...
NdiyoUpo nyumbani kwenu
Njoo mpaka mafuta ya taaNjooo unichukue kinyerezi mwisho,
Nakutakia kila la kheri apostleHapana Mkuu
Haa
Nyege mbaya sana.ila mbona kama kuna kitu namisi?
Kwani Una namba yanguPokea simu mkuu tufurahi wote.
MmmhHaya njoo Msasani tuendeleze hiyo furaha yako.
Kwanza hebu tuma namba yako inayopokea pesa, na useme ni mtandao gani.
Njoo nifuaate kwa miguu bana hujui nauli zimepandaNjoo mpaka mafuta ya taa
Huyu ni muuza jagina😁Biashara matangazo, alisemaga shibela wangu
Duh......atakuja kweli huyo aje ajitafunie kama alivyosemaTabata kinyerezi
Usiniharibie furahaHuyu ni muuza jagina😁
Nimelala siamkiNjoo nifuaate kwa miguu bana hujui nauli zimepanda