Niko na furaha sana leo, Niko comfortable

Niko na furaha sana leo, Niko comfortable

Shikamooni wakubwa kaka, dada zangu na wengine.

Mmh Leo Nina furaha nimeamka tangu alfajir najikuta nina mudi ya kazi ,mpaka saa moja kamili nilishamaliza kila kitu kuanzia kufua , kufanya usafi wa nyumba na kila kitu.

Na nilivyo peke yangu leo basi tu najikuta mwenye furaha hata sijui inasababishwa na nini, huenda Mungu kaamua kunipa upendeleo leo, ila mbona kama kuna kitu namisi?

Yaani furaha haikamiliki,ngoja nijipumzishe Kwanza Kwa najua shetani anaweza kuniharibia , zawadi hii ya leo.

Karibuni wanajukwaa tufurahi
Niwapenda mdogo wenu❤️❤️❤️
Upo nyumbani kwenu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom