Niko kwenye mood ya malavedavi

noo usimfanye hivyoo i rally need him but 4 today tu nimuonjeshe punishment,,na lakin vilevile ukweli ukijulikana kwa afrodenzi ndio ntjua cha kufanya hapa,,,tusubiri kwa sas huyu shost aje halafu tutayazungumza hapa hatutaelewana kabsaaaa,,,,,atakae mkamata amuelekeze nia ya thead hii kati yetu ok???kikao naona kistop mwasemaje wenzangu,,,,
Huyu hashy wako natamani hata kumfanya :hungry::hungry::hungry:
 

okay ngoja tusubirie mtuhumiwa mwingine aje then kesi ita resume
 
mpenzi nani??????? afrodenz au mimi??????? kama mimi mwenzangu bado namsubiri afrodenz tuu hapa ndio aseme ukweli huoni kikao kimestopishwa na watendwa,,,,, nyimbo tamu lakin yazid kuniumiza tuu.... kivyengine watanzania watua kuimba wallah tabu nazipenda lakini sizijui majina halafu napenda sa kufata swahili yao,,,,
kweli we leo wankamia ile mbaya.....mwenzio nisha samehewa......donge lenu tu hebu mamii burudika na hii
 
Last edited by a moderator:

nilham hilo ni dongo kwetu yaani hashy anamaanisha atadumu na afro
 
i think soo,,, but i cant bealeve my eyes for what i see,, becouse hashy was mine my dear,,,, but inshallh solution will come soon,,,

baada ya yote hayo nimekumbuka huu wimbo ufuatao

furaha yangu yote umeibeba umeondoka nayo
umeupa ufa moyo wangu nahangahika
ndio unikimbie nikikumbuka zile raha za chumbani
unanifanya nilie
 
baada ya yote hayo nimekumbuka huu wimbo ufuatao

furaha yangu yote umeibeba umeondoka nayo
umeupa ufa moyo wangu nahangahika
ndio unikimbie nikikumbuka zile raha za chumbani
unanifanya nilie

utaimba sana mwaka huu.......nilham wangu tu!
 
waitwa vipi huo mwmbo finest???? halafu nikudokeze afro nempata kwenye thread ya mawziri sijui hapa hapa ukumbi wa malove,,,nikamshtua aje na huku sasa kaa chonjo soon kikao chaanza,,,,
baada ya yote hayo nimekumbuka huu wimbo ufuatao

furaha yangu yote umeibeba umeondoka nayo
umeupa ufa moyo wangu nahangahika
ndio unikimbie nikikumbuka zile raha za chumbani
unanifanya nilie
 
waitwa vipi huo mwmbo finest???? Halafu nikudokeze afro nempata kwenye thread ya mawziri sijui hapa hapa ukumbi wa malove,,,nikamshtua aje na huku sasa kaa chonjo soon kikao chaanza,,,,

ha ha ha unaitwa unikimbie okay ngoja nikae mkao wa kimahakama sasa
 
Fiksi tupu
 
Humphnicky,

Vipi bado upo kwenye "mood"? Maana umepotea sana hapa!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…