Niko dillema, naomba mawazo yako

Niko dillema, naomba mawazo yako

Kwa jamaa hafugwi wala kulelewa hapo anapambana wanaume huwaga hatuna masimango kama wanawake.

Kuna kipindi jamaa angu aliona kwao wanamtumia tu anauza duka la kaka ake bila future yoyote, akaja magetoni tukawa tunachill wote tunapika na kula kipindi hicho mm napiga kitabu chuo, alikuwa akijishughulisha na mbaga za uwakala hadi akapata pa kushikia na akapanga geto lake mwanzoni nilikuwa nikimbust na boom langu lakin akajichanga akawa na kwake

Huyo jamaa aache mbaga za kuajiriwa na kujitolea, mtaani pesa ipo kuanza ni kugumu ila ukishazoea mwaka unaweza usifike unamiliki geto na mazaga mengine mjini hapa. Hapo sasa hata akimuita mzazi mwenzie atakuwa kifua mbele kuliko akaenda kutegemea mshahara wa uyo manzi ataletewa michepuko hadi usiku wa manane na asiweze kusema chochote
Hiyo aya ya juu ni kweli kabisa wanaume tumenyooka sana kwenye ishu ya kubebana hatuna nongwa Wala masimango, haijalishi lini utapata huwa tunaamini once mtu anapambana Kuna siku mambo yatajipa
Kuhusu kuniletea wanaume hawezi hata kidogo HAWEZI ila kuhusu dharau kwa mwanamke hakuepukiki Saivi anavyoongea kila kitu yes kanyooka sana, pengine sababu nipo mbali au hatujakutana siku nyingi na hiyo tu pekee ake ndo inanifanya ntafakari kabla sijafanya maamuzi. Wanawake wa kanda ya ziwa hawana makandokando sana kwa experience yangu mpaka saivi
 
Hiyo aya ya juu ni kweli kabisa wanaume tumenyooka sana kwenye ishu ya kubebana hatuna nongwa.
Kuhusu kuniletea wanaume hawezi hata kidogo HAWEZI ila kuhusu dharau kwa mwanamke hakuepukiki Saivi anavyoongea kila kitu yes kanyooka sana, pengine sababu nipo mbali au hatujakutana siku nyingi na hiyo tu pekee ake ndo inanifanya ntafakari kabla sijafanya maamuzi. Wanawake wa kanda ya ziwa hawana makandokando sana kwa experience yangu mpaka saivi
Uje utupe mrejesho
 
Hiyo aya ya juu ni kweli kabisa wanaume tumenyooka sana kwenye ishu ya kubebana hatuna nongwa.
Kuhusu kuniletea wanaume hawezi hata kidogo HAWEZI ila kuhusu dharau kwa mwanamke hakuepukiki Saivi anavyoongea kila kitu yes kanyooka sana, pengine sababu nipo mbali au hatujakutana siku nyingi na hiyo tu pekee ake ndo inanifanya ntafakari kabla sijafanya maamuzi. Wanawake wa kanda ya ziwa hawana makandokando sana kwa experience yangu mpaka saivi
Nenda uvumilie tu mkuu hizo dharau ndani ya mwaka mbona zinaisha!
 
Moyo na fikra naona 50/50 NAWAZA sipati majibu; kwamba nikibaki, je nitabaki kwa msela hadi lini(ye tayari maisha yake yana unafuu sana)pesa ya kodi, kula na other basic needs anaweza ku afford..
Lakini pia nikisema niondoke huko niendako ni heri kiasi gani au mihemko tu ya hisia (ikumbukwe mara ya mwisho nilitoka huko kwa ugomvi) so nachosita ni kutokea tena ugomvi kama ule.
Huwezi kuwa na 50/50 vyote kama mara moja, sikiliza sauti yako ya ndani inavyosema. Kuna jambo ambalo huwa linakujia kama fikra sema huna uwakika nalo. Unaweza kuta wataka kuondoka lakini moyo unakuwa mgumu. Kwa mfano huu mdogo ukiona hali kama hiyo usiondoke hapo ulipo maana kuna hali ya msukumu wa kukuzui kutoka hapo ulipo kila unapotaka kutokna.

Hali hiyo inaweza kukusaidia kuapata kazi mahali ukiwa hapo hapo ulipo
 
Huwezi kuwa na 50/50 vyote kama mara moja, sikiliza sauti yako ya ndani inavyosema. Kuna jambo ambalo huwa linakujia kama fikra sema huna uwakika nalo. Unaweza kuta wataka kuondoka lakini moyo unakuwa mgumu. Kwa mfano huu mdogo ukiona hali kama hiyo usiondoke hapo ulipo maana kuna hali ya msukumu wa kukuzui kutoka hapo ulipo kila unapotaka kutokna.

Hali hiyo inaweza kukusaidia kuapata kazi mahali ukiwa hapo hapo ulipo
Kinachonifanya nibaki kwanza kabisa jamaa hana Kona Kona kwenye swala la kunisupport harakati zangu; pili naamini Dar ni sehemu yenye fursa sana hata kama na struggle saivi naamini kabisa mambo itakaa poa tu-kwa maana nikibaki sioni shida au kupata changamoto yoyote tatizo tu ni moja ntaishi Kwa matumaini Sina uhakika kwamba after certain period mambo yatajipa tofauti na Njombe ambako ni swala la mwaka mmoja au miwili Mambo yanajipa-changamoto ni kuwa tukznguana kule sidhani Kama atanipokea jamaa ataona Sina msimamo na ndo mtu pekee husikiliza na kuelezea pamoja na kunisaidia financially.
 
Kinachonifanya nibaki kwanza kabisa jamaa hana Kona Kona kwenye swala la kunisupport harakati zangu; pili naamini Dar ni sehemu yenye fursa sana hata kama na struggle saivi naamini kabisa mambo itakaa poa tu-kwa maana nikibaki sioni shida au kupata changamoto yoyote tatizo tu ni moja ntaishi Kwa matumaini Sina uhakika kwamba after certain period mambo yatajipa tofauti na Njombe ambako ni swala la mwaka mmoja au miwili Mambo yanajipa-changamoto ni kuwa tukznguana kule sidhani Kama atanipokea jamaa ataona Sina msimamo na ndo mtu pekee husikiliza na kuelezea pamoja na kunisaidia financially.
Sikiliza moyo wako utakupa majibu yote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom