Niko Dilemma

Niko Dilemma

To men I do agree .. Men are impossible.. As I have said kwa nilichowahi kukiona before and both those couples still together until now wanaishi kwa amani .. Kinachotakiwa ni msimamo tuu .. Na ndio maana nimemuambia afunge na kuomba kuhusu huyo kaka anayemmpenda huyo dada asikie amani ya Mungu inasemaje moyoni mwake .. Hapa its not about her heart its about God`s plans toward her destiny .. Thanks..
Maswala ya kumshirikisha Mungu hayahitaji mzahaa hata kidogo kama ilivyo siku hizi mtu yupo kanisani kwenye maombi huku anawaza atatoka saa ngapi ili akaingie JF na FB!!...... Maswala ya kumshirikisha Mungu yanahitaji mtu awe na imani kali pamoja na misimamo mikali kama akina Sara walivyofanya!
 
Maswala ya kumshirikisha Mungu hayahitaji mzahaa hata kidogo kama ilivyo siku hizi mtu yupo kanisani kwenye maombi huku anawaza atatoka saa ngapi ili akaingie JF na FB!!...... Maswala ya kumshirikisha Mungu yanahitaji mtu awe na imani kali pamoja na misimamo mikali kama Sara alivyofanya!

I think nili mention ili swala la msimamo and honest .. So yes , she has to be serious especially now she cant afford to make another mistake again kwenye love affair ... Thanks..
 
Wakati mwingine majaribu huwa tunayakaribisha wenyewe. Wewe ulishaumizwa na wengi umempata anayekupenda kwa dhati wewe unasema hujamkubali eti umeanza kumpenda rafiki tena cha pombe.Haya mpira tunakuachia uamue ila usipotulia for sure utarudi hapa na kilio.
 
Kwa ukweli unaojionyesha kuna mapungufu kwa yule ulienae, kulingana na uzoefu wa mahusiano yako ya awali. Unatafuta the best ya yule ulieachana nae, past experience inakutesa hata ukijiambia hutaki kukumbuka. Olewa na mtu anaekupenda mfundishe na msaidie kuondoa mapungufu aliyonayo
 
Mimi siwezi kuoa au kuishi na mtu(mwanamke) ambae sijampenda, kama ninyi wanawake mnaweza basi hiyo ni miracle gift from the God to you women!!
mimi mwenyewe siwezi kuishi na mtu sijampenda. unless umeolewa naye hata hajawahi kukugusa manake ni Kero sana kushikwa na mtu humpendi. i hope sitofikia hiyo level of desperation ya kujitoa muhanga. hapo ni uoga tu kuwa hutopewa attention na mwingine.
 
mimi mwenyewe siwezi kuishi na mtu sijampenda. unless umeolewa naye hata hajawahi kukugusa manake ni Kero sana kushikwa na mtu humpendi. i hope sitofikia hiyo level of desperation ya kujitoa muhanga. hapo ni uoga tu kuwa hutopewa attention na mwingine.
Sasa huyu dada unamshauri nini? Amkubali huyo jamaa wake wa kwanza ambae dada hampendi ila jamaa ana future nae au amkubali mchepuka(jamaa wa pili) ambae dada anampenda ila jamaa hana future?
 
Sasa huyu dada unamshauri nini? Amkubali huyo jamaa wake wa kwanza ambae dada hampendi ila jamaa ana future nae au amkubali mchepuka(jamaa wa pili) ambae dada anampenda ila jamaa hana future?
mimi sijui some people are just strange.

ishazoeleka kwenye jamii yetu kuolewa kwa kujitoa muhanga ili kupata status kwenye jamii ambayo inaonwa muhimu kuliko furaha ya mtu.

aamue mwenyewe anachotaka maishani mwake.

akiolewa ajitayarishe tu kuishi kwa kuwaza "ingekuwaje nisingeolewa naye?"
 
mimi sijui some people are just strange.

ishazoeleka kwenye jamii yetu kuolewa kwa kujitoa muhanga ili kupata status kwenye jamii ambayo inaonwa muhimu kuliko furaha ya mtu.

aamue mwenyewe anachotaka maishani mwake.

akiolewa ajitayarishe tu kuishi kwa kuwaza "ingekuwaje nisingeolewa naye?"
Hii sera yako ya kupenda saaaaaaaaaaaaaaaaana kuolewa na mtu ambae 'unampenda perfectly' huenda ikakugarimu catastrophically!
 
Back
Top Bottom