Nikki wa Pili: Nitagombea Urais 2020, tuombe uzima..

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Msanii wa muziki "msomi" nchini, Nickson Simon au Nikki wa Pili anafahamika kwa michango yake kuhusiana na siasa na matukio yanayoendelea kila siku, ameweka wazi hamu yake ya kugombea nafasi ya Urais panapo majaaliwa mwaka 2020

Nikki amesema anaamini ana nafasi nzuri zaidi ya kuweza kubadili mambo mengi akiwa Rais kuliko akiwa Mbunge.

Hilo amelitamka alipoulizwa kama ana mpango wa kuingia kwenye siasa na kugombea ubunge mwaka 2020..

My take: Japo mimi sio mshabiki wake kivile ila nakiri tu nimekubaliana nae kwenye mtazamo kuhusu masuala flani yakiwemo ya sera za uwekezaji, sanaa na kada ya elimu. Amezungumza vyema..

 
Msanii wa muziki "msomi" nchini, Nickson Simon au Nikki wa Pili anafahamika kwa michango yake kuhusiana na siasa na matukio yanayoendelea kila siku, ameweka wazi hamu yake ya kugombea nafasi ya Urais panapo majaaliwa mwaka 2020

Nikki amesema anaamini ana nafasi nzuri zaidi ya kuweza kubadili mambo mengi akiwa Rais kuliko akiwa Mbunge.

Hilo amelitamka alipoulizwa kama ana mpango wa kuingia kwenye siasa na kugombea ubunge mwaka 2020..

My take: Japo mimi sio mshabiki wake kivile ila nakiri tu nimekubaliana nae kwenye mtazamo kuhusu masuala flani yakiwemo ya sera za uwekezaji, sanaa na kada ya elimu. Amezungumza vyema..


Warundi na Wanyarwanda huwa hawatishiwi kugombea kiti chao,, mlio karibu naye huyu jamaa mtahadharisheni asije akatutoka bila kutegemea!! Hivi Bashite amemsikia?
 
Huyu pro Chadema pumbaf kabisa.. ameshindwa mziki anaimba hovyo hovyo ameona siasa ndio pa kutokea? Atafute kingine hana talent yoyote huyu
 
Huyu kijana zamani alikuwa anajitahidi sana kuimba lakini kwasasa muziki wake haufai tena kusikilizwa na jamii
 
Kwa inchi hii yeyote anaweza kuwa raisi , maana wanainchi wake ni zaidi ya malaika
 
Labda Urais wa WEUSI....HAHAHAH huyu anaipenda sana Chadema
 
Trust me Huyu Nick ana akili na upeo kuliko ma Dr na maprofessor wengi tulionao serikalini , kwenye vyama vya siasa na hata kwenye taasisi mbalimbali hapa nchini....................
 
Back
Top Bottom