Nikki Haley warns the is 'prepared to do more' in Syria

ze kokuyo

JF-Expert Member
Jan 24, 2014
7,418
9,599
Katika mkutano wa dharula unaondelea huko UN, balozi wa Marekani bibi Nikki Haley amesema kwamba Marekani imejiandaa ipasavyo kufanya zaidi huko Syria iwapo serikali ya Assad itaendelea na unyama dhidi ya raia wasio na hatia.
Source: ABCnews & CNN

Msikilize hapa

Updates.

•Marekani yakana kuipa taarifa serikali au kiongozi wa Urusi(Vladimir Putin) kuhusu mashambuliz ya Syria.

•Jeshi la Marekani lathibitisha kwamba makombora 58 kati ya 59 yote yalitua mahali husika na si vinginevyo.

•Iran yalaani vikali shambulizi la makombora dhidi ya Syria.

•Urusi yailamu Uingereza kwa kuunga mkono mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria

•Ndege za jeshi la Syria zilizosalia kwenye ngome ya kijeshi iliyoshambuliwa hapo Jana zimeondoka eneo hilo baada ya onyo la balozi wa Marekani kwenye mkutano UN.

Source:abcNews & Telegraph
 
Katika mkutano wa dharula unaondelea huko UN, balozi wa Marekani bibi Nikki Haley amesema kwamba Marekani imejiandaa ipasavyo kufanya zaidi huko Syria iwapo serikali ya Assad itaendelea na unyama dhidi ya raia wasio na hatia.
Source: ABCnews

Msikilize hapa

Putin anatapatapa tu na vimikwara. Mwanaume anasababisha
 
c913a73bad49b11d176a4c329128ede3.jpg
Elungata
 
Katika mkutano wa dharula unaondelea huko UN, balozi wa Marekani bibi Nikki Haley amesema kwamba Marekani imejiandaa ipasavyo kufanya zaidi huko Syria iwapo serikali ya Assad itaendelea na unyama dhidi ya raia wasio na hatia.
Source: ABCnews & CNN

Msikilize hapa

Updates.

•Marekani yakana kuipa taarifa serikali au kiongozi wa Urusi(Vladimir Putin) kuhusu mashambuliz ya Syria.

•Jeshi la Marekani lathibitisha kwamba makombora 58 kati ya 59 yote yalitua mahali husika na si vinginevyo.

•Iran yalaani vikali shambulizi la makombora dhidi ya Syria.

•Urusi yailamu Uingereza kwa kuunga mkono mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria

•Ndege za jeshi la Syria zilizosalia kwenye ngome ya kijeshi iliyoshambuliwa hapo Jana zimeondoka eneo hilo baada ya onyo la balozi wa Marekani kwenye mkutano UN.

Source:abcNews & Telegraph

Huu ndio usenge wa Taifa moja lenye nguvu anafanya analotaka. Eti leo USA inawalilia watoto wa Syria. Hii dunia Mwenye nguvu ndie mwenye haki.
 
Marekani cheche Sana kulikuwa na sababu gani kuwafahamisha Russia kuwa watalipua warusi wakasepa lakini wakahamisha kila kitu muhimu na makombora 23 tu ndio yalitua hayo mengine means yaliyayushwa hewani? Na wasyria wazembe waliokuwa hawaamini kuwa watashambuliwa wakabaki na kufa... Na damege yenyewe ni kidogo tu zile sehemu muhimu zipo salama kabisa haswa hunger za ndege
 
Marekani cheche Sana kulikuwa na sababu gani kuwafahamisha Russia kuwa watalipua warusi wakasepa lakini wakahamisha kila kitu muhimu na makombora 23 tu ndio yalitua hayo mengine means yaliyayushwa hewani? Na wasyria wazembe waliokuwa hawaamini kuwa watashambuliwa wakabaki na kufa... Na damege yenyewe ni kidogo tu zile sehemu muhimu zipo salama kabisa haswa hunger za ndege
81d04a7bf61f288a5507c74721a6a437.jpg
 
Marekani asingewastua Russia Ku evacuated na Russia kuwatell Syria damage ingetisha Sana na. Russia wangeshakuwa wamelipa kisasi na sasa hivi ungekuwa mnyukano unaendelea.. Katafute picha za eneo la tukio uone eneo kubwa lipo intact makombora mengine yalitunguliwa hewani
 
usanii mwingine wa kijinga sana eti kabla ya ushambulia unawaambia na maeneo unayotaka kushambulia...
US alitoa taarifa kwamba atapiga(in gwajimaZ voice) lkn hakusema wapi wala kuomba ruhusa ya kupiga. Yy alichofanya ni kutoa taarifa tena mda mchache kabla ya tukio na nchi zilizopewa hyo taarifa ya kwanza ilikua israel ikafatia Russia pamoja na nchi nyngne za NATO.
 
US alitoa taarifa kwamba atapiga(in gwajimaZ voice) lkn hakusema wapi wala kuomba ruhusa ya kupiga. Yy alichofanya ni kutoa taarifa tena mda mchache kabla ya tukio na nchi zilizopewa hyo taarifa ya kwanza ilikua israel ikafatia Russia pamoja na nchi nyngne za NATO.
ulivyosema atapiga ilishajulikana ni wapi inakuwa ni kwenye facilities za kijeshi hawawezi kupiga mashuleni au hospitalini mkuu sehemu zote walizopika zilijulikana na watu wote waliondoa vifaa vyao vyote yakabaki magofu tu....wasingejua mahali watakapopiga wanajeshi wa Russia NA sSyria wangekufa maana ndio wako huko kwenye vituo vya jeshi
 
ulivyosema atapiga ilishajulikana ni wapi inakuwa ni kwenye facilities za kijeshi hawawezi kupiga mashuleni au hospitalini mkuu sehemu zote walizopika zilijulikana na watu wote waliondoa vifaa vyao vyote yakabaki magofu tu....wasingejua mahali watakapopiga wanajeshi wa Russia NA sSyria wangekufa maana ndio wako huko kwenye vituo vya jeshi
kwa hyo zile ndege 20 zilizoharibiwa yalikua matoy au?!
Vp kuhusu zile airdefenses?
Na vp kuhusu mfumo wa rada kuharibiwa?!
Ukitaka source sema dk. Sifuri tu

Half kwa ushenz hzo S400 hata kuziona Tomahawk hazijaona, niulize kwanini nikufafanulie.
 
kwa hyo zile ndege 20 zilizoharibiwa yalikua matoy au?!
Vp kuhusu zile airdefenses?
Na vp kuhusu mfumo wa rada kuharibiwa?!
Ukitaka source sema dk. Sifuri tu

Half kwa ushenz hzo S400 hata kuziona Tomahawk hazijaona, niulize kwanini nikufafanulie.
hizo ndege zilikuwa mbovu hazitumiki......yaani kuna viwanja vya ndege vimepigwa na vimeendelea kutumika chini ya masaa 24 toka vishambuliwe na Marekani.....ni usanii tu hakuna lolote marekani ni matapeli hata hizo Tomhawk wasiyria wangeamua wangezilipua tu
 
hizo ndege zilikuwa mbovu hazitumiki......yaani kuna viwanja vya ndege vimepigwa na vimeendelea kutumika chini ya masaa 24 toka vishambuliwe na Marekani.....ni usanii tu hakuna lolote marekani ni matapeli hata hizo Tomhawk wasiyria wangeamua wangezilipua tu
eti mbovu, ulitaka waseme nzima?!
Vp na zile rada zilizoharibiwa nazo zilikua mbovu?!
Half hv marekani alisema atapiga hizo barabara za kurukia ndege?!
Alisema anapiga ndege, maghala ya kuhifadhia silaha, rada, na air defense systems. Sasa jiulize vilipigwa au havikupigwa?!, so mnakuja kutuonyesha barabara za kurukia ndege
 
eti mbovu, ulitaka waseme nzima?!
Vp na zile rada zilizoharibiwa nazo zilikua mbovu?!
Half hv marekani alisema atapiga hizo barabara za kurukia ndege?!
Alisema anapiga ndege, maghala ya kuhifadhia silaha, rada, na air defense systems. Sasa jiulize vilipigwa au havikupigwa?!, so mnakuja kutuonyesha barabara za kurukia ndege
Marekani wamepiga vitu vibovu vilivyokuwa havitumiki mpaka radar zilikuwa hazitumiki.....vitu vyote muhimu viliamishwa na jana ndege za Syria zimeshambulia waasi kutoka kwenye yale yale maghala yaliyopigwa na Marekani.....Marekani ni matapeli mashambulizi yake ni usanii tu hayajawaathiri kwa namna yoyote jeshi la syria
 
Back
Top Bottom