Nikki Haley warns the is 'prepared to do more' in Syria

Nikki Haley warns the is 'prepared to do more' in Syria

Marekani wamepiga vitu vibovu vilivyokuwa havitumiki mpaka radar zilikuwa hazitumiki.....vitu vyote muhimu viliamishwa na jana ndege za Syria zimeshambulia waasi kutoka kwenye yale yale maghala yaliyopigwa na Marekani.....Marekani ni matapeli mashambulizi yake ni usanii tu hayajawaathiri kwa namna yoyote jeshi la syria
ab6a2f5b2fa101c9b50ce65a235f4a0b.jpg
Before

1ea6d2465aecbc1e5c1ef525715e1196.jpg
After

Kwa hyo hata satellites zimeongopa?!
 
hizo zote zilikuwa hazitumiki
7eb37cf02784869a197536a16c9862c2.jpg
Ila mwaka huu kaz mnayo maana WhiteHouse kaingia chizi.Yeye hana mda wa kuomba idhini ya Congress yy anapiga tu.

Baada ya majibu ya Urusi Trump kasema antapiga tena(kaandika barua kwa Congress)
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwahyo baada ya mashambuliz ndo zikaanza kutumika?!
Huyo jamaa anayejita laki si pesa anaandika mambo yasiyo na mashiko kupoteza muda tu. Nadhani analeta ubishi wa kule jukwaa la siasa anapobishana na Chadema.

Only a fool will take him seriously what he writes in here.
 
Huyo jamaa anayejita laki si pesa anaandika mambo yasiyo na mashiko kupoteza muda tu. Nadhani analeta ubishi wa kule jukwaa la siasa anapobishana na Chadema.

Only a fool will take him seriously what he writes in here.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hlf ubishi wake hauna mantiki. Yy anabisha ili imradi kabisha hata kufikiria hafikirii.
 
7eb37cf02784869a197536a16c9862c2.jpg
Ila mwaka huu kaz mnayo maana WhiteHouse kaingia chizi.Yeye hana mda wa kuomba idhini ya Congress yy anapiga tu.

Baada ya majibu ya Urusi Trump kasema antapiga tena(kaandika barua kwa Congress)
Marekani wanashambulia maeneo yasiyokuwa na madhara kwa jeshi la Syria we hushangai baada ya mashambulizi jeshi la Syria linaendeleza mashambulizi kwa waasi kama kawaida
 
Huyo jamaa anayejita laki si pesa anaandika mambo yasiyo na mashiko kupoteza muda tu. Nadhani analeta ubishi wa kule jukwaa la siasa anapobishana na Chadema.

Only a fool will take him seriously what he writes in here.
nyie ndio mnadanganya na vyombo vya habari vya Marekani kujisifia upumbavu tu hayo mmashambulizi yamefanyika kwenye magofu tu vifaa vyote muhimu vya kijeshi vilihamishwa yakabaki mascrepa tu
 
hizo ndege zilikuwa mbovu hazitumiki......yaani kuna viwanja vya ndege vimepigwa na vimeendelea kutumika chini ya masaa 24 toka vishambuliwe na Marekani.....ni usanii tu hakuna lolote marekani ni matapeli hata hizo Tomhawk wasiyria wangeamua wangezilipua tu
Ushabiki na mahaba kwA putin yatakuua kubali tu Mwanaume Pentagon apite
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hlf ubishi wake hauna mantiki. Yy anabisha ili imradi kabisha hata kufikiria hafikirii.
we unashangilia marekani kupiga magofu na mascrepa vifaa vyote muhimu vilihamishwa marekani wakashambulia magofu tu niambie mashambulizi ya marekani yaliua wanajeshi wangapi?
 
we unashangilia marekani kupiga magofu na mascrepa vifaa vyote muhimu vilihamishwa marekani wakashambulia magofu tu niambie mashambulizi ya marekani yaliua wanajeshi wangapi?
Tatz lako ww mbishi hlf sio mfatialiaji.
Embu pitia vyombo hv tangu siku ya mashambuliz; AbcNews, BBC, CNN, Telegraph, Haaretz, RT. Half rud hpa tena so kila kitu mpk utafuniwe.
 
Tatz lako ww mbishi hlf sio mfatialiaji.
Embu pitia vyombo hv tangu siku ya mashambuliz; AbcNews, BBC, CNN, Telegraph, Haaretz, RT. Half rud hpa tena so kila kitu mpk utafuniwe.
hivyo vyombo vyote ni vibaraka vya Marekani vinaendeleza propaganda za uongo sina muda wa kufuatilia habari za uongo!
 
hivyo vyombo vyote ni vibaraka vya Marekani vinaendeleza propaganda za uongo sina muda wa kufuatilia habari za uongo!
Leo RT imekua kibaraka wa Marekani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom