Nikiwa namalizia chupa ya mwisho.

kisikiji

JF-Expert Member
Feb 2, 2015
2,530
2,494
Ilikua ni majira ya SAA saba kasorobo usiku, nikasikia sauti kichwani mwangu.
Inasema hapa kazi tu, ukinunua dai risiti, lipa kodi kwa hiari kwa maendeleo ya taifa.
Ghafla naona 10 10 na vijana was kangi wananambia muda umeisha tuende majumnani mwetu, nikawauliza ninyi na bosi wenu wrote nivichaa?.
Tutalipa vipi kodi na mnatufukuza zilipa efd?.
 
Ilikua ni majira ya SAA saba kasorobo usiku, nikasikia sauti kichwani mwangu.
Inasema hapa kazi tu, ukinunua dai risiti, lipa kodi kwa hiari kwa maendeleo ya taifa.
Ghafla naona 10 10 na vijana was kangi wananambia muda umeisha tuende majumnani mwetu, nikawauliza ninyi na bosi wenu wrote nivichaa?.
Tutalipa vipi kodi na mnatufukuza zilipa efd?.
Ni vizuri ungesubiri pombe ziishe kichwani ndipo uje upost
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom