Nakumbuka kipindi hichTulikua tunaangalia picha za makka, marina,,,,,kuna mbaba mmoja sijui alikua anaokota nini sijui hahahaha hahahaha long fucker
Nimekumbuka mbali sn, enzi hizo Magomeni Ndugumbi. Kila sikukuu, iwe eidi ama xmas lazima tukutane nazo hizo.Tulikua tunaangalia picha za makka, marina,,,,,kuna mbaba mmoja sijui alikua anaokota nini sijui hahahaha hahahaha long fucker
Wewe ni Muhenga!
But vimeshapitwa na wakati, unataka uviweke Makumbusho.Kwetu alikuwa nacho mtoto wa ticha, alikuwa anaringa kinoma kisa hicho kidude na maisha yangu yote ya utotoni sikuwahi kumiliki.
Nina ndoto ya kumiliki hiki kitu pamoja na lile li brick game kabla ya mwaka kuisha.
Hatari! Dingi alitoka kuhiji mwaka91 aliniletea hicho, ila chenyewe ni cha jicho mojaTulikua tunaangalia picha za makka, marina,,,,,kuna mbaba mmoja sijui alikua anaokota nini sijui hahahaha hahahaha long fucker
Hicho ni cha miaka ya 90 boss sio 70Mbona mi sikujui hicho aisee🤔 ni kitambo sana labda 1970's hivi?
nini hiko
Hivi nawe ni mtu mzima??Kumbe Wewe ni katoto ila huwa unanitukana kwenye comment
Makumbusho..! Natumia..But vimeshapitwa na wakati, unataka uviweke Makumbusho.