NIKIVAA CONDOM NAPOTEZA HISIA

NIKIVAA CONDOM NAPOTEZA HISIA

Kuna condom za kumeza kama vidonge, tumia hizo!
Wakubwa shikamoo, wadogo malahaba. Naomba msaada wa kijuzwa kama nina tatizo la kiafya au ndo yale matatizo yetu yaliyosuka? Mimi nikitoka na mwanamke ata kama ni mzuri kiasi gani, nikivaa condom tu basi haisimami tena mpaka niivue. Asanteni sana ndgu zangu naamini mtansaidia.
 
Nisuala la kisaikolojia tuu hilo Mimi ilikuwa nikivaa Kondom ndo inasimama vzr, nikivua haisimami tena, niliogopa sana peku so mambo yalibadilika nisaikolojia tuu
 
Sasa kijana si utakufa na maradhi husipovaa kondomu mademu wengi wameoza
 
Wakubwa shikamoo, wadogo malahaba. Naomba msaada wa kijuzwa kama nina tatizo la kiafya au ndo yale matatizo yetu yaliyosuka? Mimi nikitoka na mwanamke ata kama ni mzuri kiasi gani, nikivaa condom tu basi haisimami tena mpaka niivue. Asanteni sana ndgu zangu naamini mtansaidia.
Hiyo ni dalili kuwa ukimwi unanjaa na wewe!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom