NIKIVAA CONDOM NAPOTEZA HISIA

NIKIVAA CONDOM NAPOTEZA HISIA

Mtego wa shetani huo
Hakuna demu wa kwenda nae peku peku
Kama uwezi ...basi subiri hadi ndoa ili ukiwa kule ufe kifo cha samaki
 
Mimi nikivaa condom nakuwa kidume kwelikweli,naweza nikakojolesha Mara kibao mimi bado tu,nisipovaa dakika sifuri tu bwaaaaaaaaa
 
Nakubaliana na wewe.

Kwahy akioa, mbegu hazitamwagwa nje kama ilivyozoeleka, kwa misingi ya mafundsho yako..ipoje hii
Sina uhakika Kama nimeelewa swali lako vizuri.

Lakini, shida ya mleta mada ni kuwa hawezi kudindisha vizuri anapovaa kondom. Kwa maana nyingine, anapo-sex bila kondom anakuwa vizuri tu.

Sasa, suluhisho pekee ni kutokutumia kondom, maana ndio inayomletea shida na ambayo kwa Mafundisho ya imani yangu pendwa kabisa - Kanisa Katoliki; matumizi ya kondom na kushiriki tendo la ndoa nje ya ndoa ni dhambi.

Ndio maana nikamshauri aoe ambapo kutokutumia kondom ni salama kwa kiwango kikubwa lakini pia sio dhambi.
 
Heri yako mimi nikivaa kondom huwa namuona mzee ila nikiuza mechi namuona binti
Wakubwa shikamoo, wadogo malahaba. Naomba msaada wa kijuzwa kama nina tatizo la kiafya au ndo yale matatizo yetu yaliyosuka? Mimi nikitoka na mwanamke ata kama ni mzuri kiasi gani, nikivaa condom tu basi haisimami tena mpaka niivue. Asanteni sana ndgu zangu naamini mtansaidia.
 
Acha nyeto mkuu hisia na kusimamisha n vitu viwili tofauti, kama hausimamishi ukivaa ndom bas una tatzo la misuli kulegea, fanya mazoezi na uhame chaputa haraka sana
Acha kukariri maisha kunatofaut kubwa kutumia kondomu na kavu wala chaputa haihusiki
 
Wakubwa shikamoo, wadogo malahaba. Naomba msaada wa kijuzwa kama nina tatizo la kiafya au ndo yale matatizo yetu yaliyosuka? Mimi nikitoka na mwanamke ata kama ni mzuri kiasi gani, nikivaa condom tu basi haisimami tena mpaka niivue. Asanteni sana ndgu zangu naamini mtansaidia.


Usihofu, wewe jipigie tu bila kinga uongeze maisha marefu hapa duniani.
 
Wakubwa shikamoo, wadogo malahaba. Naomba msaada wa kijuzwa kama nina tatizo la kiafya au ndo yale matatizo yetu yaliyosuka? Mimi nikitoka na mwanamke ata kama ni mzuri kiasi gani, nikivaa condom tu basi haisimami tena mpaka niivue. Asanteni sana ndgu zangu naamini mtansaidia.
hisia zako ndogo ongeza msisimkooooo kama wa coca. kitu mpaka kinafukaa.
 
Mimi nikivaa condom nakuwa kidume kwelikweli,naweza nikakojolesha Mara kibao mimi bado tu,nisipovaa dakika sifuri tu bwaaaaaaaaa
kukojolesha hakuna mipaka chief kula nyama acha kula na vifungashioo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom