Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,537
- 1,399
Wakubwa shikamoo, wadogo malahaba. Naomba msaada wa kijuzwa kama nina tatizo la kiafya au ndo yale matatizo yetu yaliyosuka? Mimi nikitoka na mwanamke ata kama ni mzuri kiasi gani, nikivaa condom tu basi haisimami tena mpaka niivue. Asanteni sana ndgu zangu naamini mtansaidia.