NIKIVAA CONDOM NAPOTEZA HISIA

Wakubwa shikamoo, wadogo malahaba. Naomba msaada wa kijuzwa kama nina tatizo la kiafya au ndo yale matatizo yetu yaliyosuka? Mimi nikitoka na mwanamke ata kama ni mzuri kiasi gani, nikivaa condom tu basi haisimami tena mpaka niivue. Asanteni sana ndgu zangu naamini mtansaidia.
Unatafuta MOTO ww !
 
Wakubwa shikamoo, wadogo malahaba. Naomba msaada wa kijuzwa kama nina tatizo la kiafya au ndo yale matatizo yetu yaliyosuka? Mimi nikitoka na mwanamke ata kama ni mzuri kiasi gani, nikivaa condom tu basi haisimami tena mpaka niivue. Asanteni sana ndgu zangu naamini mtansaidia.
Kama hujaoa ni mzee wa chapa ilale na unadai mpira haukupi mzuka bora utulie tu kwanza bila hivyo kitakukuta kitu.
 
Wakubwa shikamoo, wadogo malahaba. Naomba msaada wa kijuzwa kama nina tatizo la kiafya au ndo yale matatizo yetu yaliyosuka? Mimi nikitoka na mwanamke ata kama ni mzuri kiasi gani, nikivaa condom tu basi haisimami tena mpaka niivue. Asanteni sana ndgu zangu naamini mtansaidia.
Unavaa ili iweje au nini unatafuta ..........achana nazo
 
Dahhh minimeachana nakondom cz zinabana balaaa yan hata hazinitoshi mpaka niijaze maji litanuke ndolinakubali kuvaliwa ila haina hata raha sababu inakaza mishipa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom