MOSintel Inc
JF-Expert Member
- Mar 24, 2016
- 818
- 593
Namshukuru Baba yangu kwa Mungu kumpa AKILI timamu na UPEO wa kupima na kufanya MAAMUZI sahihi kwa WAKATI sahihi.
Mzee
Mzee jiheshimu hata kidogo wewe si miongoni mwa ......... ambao hawana mikia waliosemwa na mwenyekiti?
Mpendazoe Akitangaza Kurejea CCM:
Mpendazoe Akitangaza Kurejea CCM: [/QUOT
Who the hell is mpendazoe? so, kurudi CCM ndo big deal? sikutofautishi na wale jamaa wanaosimama usiku wa manane maeneo fulani ya ambiance and Ohio street!!
Fred mpendasifaFred who!?
Mpendazoe Akitangaza Kurejea CCM:
Mpendazoe Akitangaza Kurejea CCM:
ama la anataka UPAYUKE kama mbinu mpya ya kubaki kileleniMpendazoe Akitangaza Kurejea CCM:
Mpendazoe ni mwanasiasa mnafiki na mchumia tumbo tu, Hana lolote.Mzimu wa makamanda unakusumbua mzee.
NI mchumia tumbó mmoja hivihakya nani mpendazoe simfaham