NullPointer
JF-Expert Member
- Feb 7, 2011
- 3,461
- 2,275
Speech inaboa, "niseme kwa kifupi", "nieleze dakika tatu" "mandela alisema" "nyerere alisema" kuzunguka kwingi sana main point hakuna.
Ushauri tu, usiwe unatoa speech kichwani, uwe unakaa unaiandika, alafu unajitahidi kuifupisha angalau 70% uguse main point, hakuna mtu anapenda kusikia story zako zisizo na mashiko wala relation yoyote.
Politicians labda hamjajua kitu kimoja, watanzania sasa hivi sio wajinga wa kuchukua maneno juujuu tu, watu wameanza kuelimika, its a new generation sasa, either go with it au utasahaulika mapema sana
Ushauri tu, usiwe unatoa speech kichwani, uwe unakaa unaiandika, alafu unajitahidi kuifupisha angalau 70% uguse main point, hakuna mtu anapenda kusikia story zako zisizo na mashiko wala relation yoyote.
Politicians labda hamjajua kitu kimoja, watanzania sasa hivi sio wajinga wa kuchukua maneno juujuu tu, watu wameanza kuelimika, its a new generation sasa, either go with it au utasahaulika mapema sana