Nikirudi nyumbani nisipokuta chakula tayari inanikera sana

bora hivyo anaanza kupika
Wangu ndo kwanza anakuuliza tupike nini MUMEWANGU

Amna swali linaloniudhi kama hilo Tupike nini mumewangu

huwa sijibu natoka zangu nje tu kupunga upepo na anifati tena 7bu anajua kashanivuruga
lakini cha kushangaza baada siku 2 anarudia tena hvyohvyo
Nishasema weee nimechoka
 
bora hivyo anaanza kupika
Wangu ndo kwanza anakuuliza tupike nini MUMEWANGU

Amna swali linaloniudhi kama hilo Tupike nini mumewangu

huwa sijibu natoka zangu nje tu kupunga upepo na anifati tena 7bu anajua kashanivuruga
lakini cha kushangaza baada siku 2 anarudia tena hvyohvyo
Nishasema weee nimechoka
Aisee changamoto hiz bas ndio kuvumilia tu, pole sana mkuu
 
Unatoka kazini jioni umechoka, unataman ukifika home ukaoge ukute chakula mezani, lakin ile unafika mtu ndio anaanza kupika chakula, mpaka kuiva masaa mawil mbele dah!
Mkuu,ni kweli inaumiza/kuudhi lkn sometime Wanawake wanakuwa wamebanwa na shughuli nyingi mno, ukitaka kulijua hilo hebu jaribu kuachiwa nyumba siku moja uone muziki wake.Wanawake ni Multifunctioning Organisms.
 
bora hivyo anaanza kupika
Wangu ndo kwanza anakuuliza tupike nini MUMEWANGU

Amna swali linaloniudhi kama hilo Tupike nini mumewangu

huwa sijibu natoka zangu nje tu kupunga upepo na anifati tena 7bu anajua kashanivuruga
lakini cha kushangaza baada siku 2 anarudia tena hvyohvyo
Nishasema weee nimechoka
Mwambie tu chemsha maji tunywee
 
bora hivyo anaanza kupika
Wangu ndo kwanza anakuuliza tupike nini MUMEWANGU

Amna swali linaloniudhi kama hilo Tupike nini mumewangu

huwa sijibu natoka zangu nje tu kupunga upepo na anifati tena 7bu anajua kashanivuruga
lakini cha kushangaza baada siku 2 anarudia tena hvyohvyo
Nishasema weee nimechoka
Unamwambia pika mawe
 
Back
Top Bottom