Aisee changamoto hiz bas ndio kuvumilia tu, pole sana mkuubora hivyo anaanza kupika
Wangu ndo kwanza anakuuliza tupike nini MUMEWANGU
Amna swali linaloniudhi kama hilo Tupike nini mumewangu
huwa sijibu natoka zangu nje tu kupunga upepo na anifati tena 7bu anajua kashanivuruga
lakini cha kushangaza baada siku 2 anarudia tena hvyohvyo
Nishasema weee nimechoka
Ukitoka job pita barbora hivyo anaanza kupika
Wangu ndo kwanza anakuuliza tupike nini MUMEWANGU
Amna swali linaloniudhi kama hilo Tupike nini mumewangu
huwa sijibu natoka zangu nje tu kupunga upepo na anifati tena 7bu anajua kashanivuruga
lakini cha kushangaza baada siku 2 anarudia tena hvyohvyo
Nishasema weee nimechoka
Mmmhmmm ... Atakua Sikio la kufa sasa cha kufanya ukitoka kazini pitia huko unyweeeeeeee ukirudi muda umeenda unakuta chakula tayari nayeye kafyumu hatariiiiii !Nishasema sana lakin wap
Mkuu,ni kweli inaumiza/kuudhi lkn sometime Wanawake wanakuwa wamebanwa na shughuli nyingi mno, ukitaka kulijua hilo hebu jaribu kuachiwa nyumba siku moja uone muziki wake.Wanawake ni Multifunctioning Organisms.Unatoka kazini jioni umechoka, unataman ukifika home ukaoge ukute chakula mezani, lakin ile unafika mtu ndio anaanza kupika chakula, mpaka kuiva masaa mawil mbele dah!
Akuoe wewe, labda utajitahidi,(Just jokes).Mmmhmmm ... Atakua Sikio la kufa sasa cha kufanya ukitoka kazini pitia huko unyweeeeeeee ukirudi muda umeenda unakuta chakula tayari nayeye kafyumu hatariiiiii !
Mwambie tu chemsha maji tunyweebora hivyo anaanza kupika
Wangu ndo kwanza anakuuliza tupike nini MUMEWANGU
Amna swali linaloniudhi kama hilo Tupike nini mumewangu
huwa sijibu natoka zangu nje tu kupunga upepo na anifati tena 7bu anajua kashanivuruga
lakini cha kushangaza baada siku 2 anarudia tena hvyohvyo
Nishasema weee nimechoka
Ohooooo !! Nishaolewa kitambo miyee!!Akuoe wewe, labda utajitahidi,(Just jokes).
Unamwambia pika mawebora hivyo anaanza kupika
Wangu ndo kwanza anakuuliza tupike nini MUMEWANGU
Amna swali linaloniudhi kama hilo Tupike nini mumewangu
huwa sijibu natoka zangu nje tu kupunga upepo na anifati tena 7bu anajua kashanivuruga
lakini cha kushangaza baada siku 2 anarudia tena hvyohvyo
Nishasema weee nimechoka