Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,578
- 28,701
Dah
Mkuu hivi ukitaka kuachana na mwanamke ni mpaka ukae muanzishe mada ndipo mnaachana??
Kuachana hakunaga protocol mkuu, we piga chini achana na mambo ya kuanzisha mada za kuachana.
Mkuu hivi ukitaka kuachana na mwanamke ni mpaka ukae muanzishe mada ndipo mnaachana??
Kuachana hakunaga protocol mkuu, we piga chini achana na mambo ya kuanzisha mada za kuachana.