Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,575
- 3,106
Huyu Dada ni mzuri Sana Kila nikimuona Moyo mapigo yanaenda Kasi. Najihisi ni kama sijui Niko wapi.Nashindwa kuacha kumwangalia.
Namwangalia mpaka anajishtukia. Nashindwa nianze gia ipi kuingia kwake.Wakuu wenye uzoefu Naombeni maelekezo yenu .
Nikimwona ninakuwa na imagine vitu vingi vya kimapenzi ninamfanya kama vile vya kwenye tamthilia(mapenzi ya kwenye video).Natamani nimfanye awe wangu wa kumalizia shida zangu.
Nimemwambia namtani nikamwambia twende nyumbani akasema "Umeshasema unanitamani unataka kunipeleka nyumbani kwako kunifanya nini".Nikamjibu asiwe na mawazo hayo.
Nimemwambia aje basi tuongee Anadai kwamba nitamwambia nini.Nikamwambia Njoo utaona hukuhuku kwangu lakini kakataa. Mpaka sasahivi namuwaza huyu Binti.
Nawaza kuingia asalini maana Moyo umezama kwake.Wakuu NAOMBA msaada wenu Moyo wangu unakukuruka nikimwona nifanyeje awe wangu wa kumalizia shida zangu.
Namwangalia mpaka anajishtukia. Nashindwa nianze gia ipi kuingia kwake.Wakuu wenye uzoefu Naombeni maelekezo yenu .
Nikimwona ninakuwa na imagine vitu vingi vya kimapenzi ninamfanya kama vile vya kwenye tamthilia(mapenzi ya kwenye video).Natamani nimfanye awe wangu wa kumalizia shida zangu.
Nimemwambia namtani nikamwambia twende nyumbani akasema "Umeshasema unanitamani unataka kunipeleka nyumbani kwako kunifanya nini".Nikamjibu asiwe na mawazo hayo.
Nimemwambia aje basi tuongee Anadai kwamba nitamwambia nini.Nikamwambia Njoo utaona hukuhuku kwangu lakini kakataa. Mpaka sasahivi namuwaza huyu Binti.
Nawaza kuingia asalini maana Moyo umezama kwake.Wakuu NAOMBA msaada wenu Moyo wangu unakukuruka nikimwona nifanyeje awe wangu wa kumalizia shida zangu.