mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,111
- 21,655
Hao watu ni kama wale wa mzee mpili au tofauti?Mimi ninachojua ni kuwa Gwajima ana 'watu' hakuna wa kumgusa nchi hii
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hao watu ni kama wale wa mzee mpili au tofauti?Mimi ninachojua ni kuwa Gwajima ana 'watu' hakuna wa kumgusa nchi hii
Katika hilo pambano, naamini huyu Pascal Mayalla wa 2021 atashinda raundi ya kwanza tu, tena kwa KO dhidi ya Pascal Mayalla wa 2007!!Na imani wakikutana Paschal mayala wa 2007 na pascal mayala wa 2021 , watazipiga ngumi hadi basi. na mwamuzi atakuwa admin wa Jamii forum.