TzPride
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 2,616
- 1,167
Anna, mimi sitaki kubishana na wewe kwani unalipwa kwa kazi hiyo.
Wewe mkazi wa jimbo la Lisu si ndio?
Leta fact kuwa Lisu kafanya hiki na hiki jimboni kwenu.
Jimbo la Lisu ndio jimbo masikini kuliko yote hapa TZ. Lisu yupo kimya wakati watu wa jimboni kwale usafiri ni wa punda kwenda vituo vya afya wenzake wanatoa magari ya wagonjwa yeye yupo bize kula pesa za jimbo pasipo kuzitumia matumizi ya maana.
Hizi ndio fact za jimbo la Lisu. Njaa kila mwaka. Yeye kwa kuwa anakula haoni hata sababu wa kuwasemea watu wake. Yeye harakati kila siku. Huo ni utoto na unachekesha sana.