themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Kwakweli sijui ni mimi au vipi, kitu nlichotafiti ni kuwa wanawake wengi wa Kitanzania hawajui Biashara wala Customer care na wengi ni mashauzi yani huwa nikimkuta mwanamke anuza duka au kutoa huduma flani naweza tafuta maduka ya wanaume wenzangu niwaungishe ila hawa watu ukiwaweka kwenye biashara yako unaweza kuiweka kwenye Risk
Ushahidi ni wanawake wenyewe yaani wao kwa wao hawapendani sababu ya tabia zao, utakuta mwanamke yupo free kufanya biashara na mwanamme ila sio mwanamke mwenzake
Ushahidi ni wanawake wenyewe yaani wao kwa wao hawapendani sababu ya tabia zao, utakuta mwanamke yupo free kufanya biashara na mwanamme ila sio mwanamke mwenzake