Kakole
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,094
- 1,743
Mbona kama nakufananisha
Mbona kama nakufananisha
Hujanifananisha, ndio Mimi!Mbona kama nakufananisha
Nakusaidia usikondeusinicheke buana, badala yake nisaidie kutafuta. uuwiiiiii, mbavu zangu mie.
nataka wa kujifungulia njia mwenyewe niwe napitamo mpaka kufa hizi ambazo watu wamejipitia mpaka wakatupa kule alafu mimi naokota peremende za mtaroni hapana aisehhhhh
Usiangaike mkuu nenda darasa la nne Na la tatu huko nafikiri ziko nyingi tuHabari za siku
mwaka unaisha sasa lakini nataka kuoa. kinachonishangaza pamja na uchakaramu wangu wa kuzunguka huku na huku lakini nimekikosa hichi
Tangia nibalehe na nianza kuwinda wanawake sijawahi kupata BIKRA au NISWATI kabisa. Mara ya mwisho nilitulia na demu wangu tangu nikiwa advance lakini nikakuta ashatumika. Mwingine nilimpata tukafikia hatua ya kumtamulisha nyumbani nikiamini nitafunga naye ndoa kumbe ana mahusiano na yule aliyemdungua. yaaani na shida tupu. sasa nataka kutulia lakini roho inaniambia nimpate yule QUEEN NISWATI ndo nitulie.
nilichoamua ni bora niendelee tu kumtauta nikimpata basi ndo nitaacha uzinzi na kuoa na kuutangazia ulimwengu sasa nimeacha uasherati
2017 ziwee....Kila la kheri. Na hizi habari za bik'ra au siyo, tuziache 2016.
Hao unaowadungua nao watapata wapi bikira? Bikra wa kweli anapata bikra mwenzake
kwakweli maana sura yako iko familia yaaniHujanifananisha, ndio Mimi!