Sasa Mwenye bikra ndo ana nini kipya au unatamani na wewe uwafungulie njia wenzako
zaa wako utaikuta
Kwa maelezo yako, Wewe mwenyewe ni used, kwanini utafute Genuine?
Kama ni wakutulia utatulia tu bila kisingizio
Blaza unaweza usioe kwa mtindo huo, afu huwa hazitafutwi hizo zinakujaga zenyewe kwa bahati tuu, tena zinakuja ukiwa umeshampata wa kuoa japo sio mwenye bikra lakini unakuwa ushasema huyu ndio nitaoa, na ushaanza na tararibu za awali za kujipanga........hamadiiiiiiii .......kitu hiki hapa. Blaza songa mbele wacha kuwaza kufunua wadada wa watu kutafuta hicho unachotafuta utaangukia kwenye ukimwi.
Yani mwanangu unakuja JF unaulizia habari za bikra, ukirudi nyumbani jiandae unifafanulieHabari za siku
mwaka unaisha sasa lakini nataka kuoa. kinachonishangaza pamja na uchakaramu wangu wa kuzunguka huku na huku lakini nimekikosa hichi
Tangia nibalehe na nianza kuwinda wanawake sijawahi kupata BIKRA au NISWATI kabisa. Mara ya mwisho nilitulia na demu wangu tangu nikiwa advance lakini nikakuta ashatumika. Mwingine nilimpata tukafikia hatua ya kumtamulisha nyumbani nikiamini nitafunga naye ndoa kumbe ana mahusiano na yule aliyemdungua. yaaani na shida tupu. sasa nataka kutulia lakini roho inaniambia nimpate yule QUEEN NISWATI ndo nitulie.
nilichoamua ni bora niendelee tu kumtauta nikimpata basi ndo nitaacha uzinzi na kuoa na kuutangazia ulimwengu sasa nimeacha uasherati
Yani mwanangu unakuja JF unaulizia habari za bikra, ukirudi nyumbani jiandae unifafanulie
embu nione kama ninayo narudi hapa fasta maana naofia baiskeri isiwe ilishafanya yake
Wanakufanyaje?nimetulia sana ila mnayonifanyia hapana bora nitafute mpaka niipate ndo ntatulia
Mama Temba,wewe uliniambia ati ulikuwa unaendesha baiskeli kule Marangu,halafu kwenye mteremko ukaanguka na kiti cha baiskeli kikakuchoma kwenye nanihii,ulipozinduka ukapata maumivu makali kule,sasa naamini uliniuzia mbuzi kwenye gunia,kiruuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,babako atarudisha shamba la kahawa arawa,mbulaaaaaaaaaaaaaaa.mkuu kwani we unabikra?
Wanamwonesha bikira za kichina.Wanakufanyaje?
Acha banaMama Temba,wewe uliniambia ati ulikuwa unaendesha baiskeli kule Marangu,halafu kwenye mteremko ukaanguka na kiti cha baiskeli kikakuchoma kwenye nanihii,ulipozinduka ukapata maumivu makali kule,sasa naamini uliniuzia mbuzi kwenye gunia,kiruuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,babako atarudisha shamba la kahawa arawa,mbulaaaaaaaaaaaaaaa.
Kwa mwandiko huu, labda sema unatafuta anayetafuta bikira..... smdh.Kwndra kwani nilikuambia ukakigawe mxuiiii
Kwa mwandiko huu, labda sema unatafuta anayetafuta bikira..... smdh.