Nikiitupa hii nguo nitapata dhambi?

Walinzi walikuonea wivu tu,mbona suruali za kitambaa maofisini zinavaliwa tu

Mtandio utunze tu,kuutupa ni kama kutothamini hivi nguo ya mtu
 
Yaani sasa hivi nikikutana na wewe nakusalimia nimeshaunganisha vipande vya image yako vimekamilika. Facial expression nimeipata kwenye comments zako.
 
usiutupe....endelea kuhifadhi tuu as long as haukudhuru.......no one knows tomorrow
 
mi naona bora uitupe tu mkuu maana kwanza inaonyesha jinsi gani inakukera kwa kupauka kwake,huwenda mwenzio ndio alikuwa anawafunikia watoto wake usiku wakilala,aliamua akupe kukusitiri
 
Sijapenda unavyo ikashifu nguo iliyokusaidia! Kwani wenye nguo mpya safi hawakupita hapo getini? Kama unaweza isema vibaya bila kuona huna shukrani unaogopeje kuitupa?
nimeeleza uhalisia mkuu ili unielewe sina dharau na hii nguo
 
Ulipewa it's okay, ulipewa kwa sababu ulikuwa na shida basi na wewe uwafanyie wengine vile vile kama ulivyotendewa(WEMA) wewe, sometimes kunamatukio huja na huwa ni funzo maishani!!!
 
Ulipewa it's okay, ulipewa kwa sababu ulikuwa na shida basi na wewe uwafanyie wengine vile vile kama ulivyotendewa(WEMA) wewe, sometimes kunamatukio huja na huwa ni funzo maishani!!!
sawa nkuu ,asante kwa ushauri
 
Yaani sasa hivi nikikutana na wewe nakusalimia nimeshaunganisha vipande vya image yako vimekamilika. Facial expression nimeipata kwenye comments zako.
mimi sio mnene wala
 
mimi sio mnene wala
Ndio maana uliweza kufunika mkia vizuri. Usiwe na wasiwasi Mimi nikimprofile mtu sikosei. Nitakusalimia Kwa heshima tu, to make exception itakuwa Kwa mkono wa kushoto ili unitambue.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…